M
MegaPyne
Guest
Note: Ipo Pugu road. Picha zimepigwa kwa simu.
Tukinunua Tumerogwa!
Ni kauli ya Mwanakijiji hiyo!
Haya maduka ndo yaleyaleeeee ya jamaa walewaleee!
...narudia tena..tukinunua humo tumerogwa!
mbona ujalipiga kwa ndani kaka..tunataka tuone vitu..hawa mungiki wamezidi kutunyanyasa na westland/nakumati yao
Sasa Mkuu.. Hizo picha zimepiga kwa camera ya simu kwa uwizi mtu akiwa katika gari.. Picha za ndani itakuwa ni ngumu. Isitoshe, its still under construction.
Achana na huyu jamaa MP!
Mi nakwambia TUKINUNUA HUMO TUMEROGWA...
nI MADUKA YA KIFISADI HAYA...DONT EVEN GO CLOSE THERE, USIJE UKATAMANI KITU...NA BIBLE INATUAMBIA USIKARIBIE BARAZA YA MWENYE HILA...huh!
Just think of this.. Quality Plaza (Manji, Na hii ipo karibu sana na hii Quality Centre) Quality Centre ( I guess its Manji tuu).
mbona ujalipiga kwa ndani kaka..tunataka tuone vitu..hawa mungiki wamezidi kutunyanyasa na westland/nakumati yao
Tukinunua Tumerogwa!
Ni kauli ya Mwanakijiji hiyo!
Haya maduka ndo yaleyaleeeee ya jamaa walewaleee!
...narudia tena..tukinunua humo tumerogwa!
Achana na huyu jamaa MP!
Mi nakwambia TUKINUNUA HUMO TUMEROGWA...
nI MADUKA YA KIFISADI HAYA...DONT EVEN GO CLOSE THERE, USIJE UKATAMANI KITU...NA BIBLE INATUAMBIA USIKARIBIE BARAZA YA MWENYE HILA...huh!
m.......ndivyo ilivyo,mtu akiwekeza bongo wivuuu akipeleka pesa zake New Jersey wivu pia ....sasa mnataka wafanye nini???tupunguze wivu kidoooogoooooooNi kwenda na kuwaliza kama inawezekana!