The Monk
Platinum Member
- Oct 12, 2012
- 20,318
- 46,058
Asante sana kwa ushauri wako mkuu,KARIBU HALAAL Co. Ltd.
Ahsante mkuu, kwa sisi wa hela za kudunduliza naweza lipa kwa installments ukanipa risit then nikimaliza ukanikabidhi mzigo?
Ubarikiwe
Asante sana kwa ushauri wako mkuu,KARIBU HALAAL Co. Ltd.
Duh!Karibu ofisin tuongee mkuu,swali lako wataalamu wa ukadiriaji watalifanyia kazi,KARIBU SANA.
Hizi tofali ni ngumu sana asikwambie mtu. Shughuli yake ataiona fundi bomba wakati wa kutindua ili kupitisha bomba.Hizi tofali za matundu ni tofali bora na za gharama nafuu sana( saving ni zaidi ya 35%). Ni tofali za kisasa, high quality finishing kwa gharama nafuu( affordable). Tofali hizi zinajengwa bila kutumia cement, na hivyo saving ni kubwa sana. Angalia mabweni hayo na hiyo nyumba ya mwalimu inayoendelea kujengwa. Hapa ni shule ys mubaba( njia ya kuelekea geita karibu na mgodi wa mafini wa tulawaka).
je? sisi WAGALATIA NA WAYAHUDI pia tunaruhusiwa kununua hizo tofali? manake jina tu hili naona limekaa kimtego sana, kama kwa minajiri ya udini vile...au mlilenga watu wa dini fulani tu, mlitumia vigezo gani kuchagua jina ambalo dunia nzima ipo kwenye attention nalo kiasi hicho....
Ndugu unafanya biashara au ugomvi?.....wateja unatakiwa kuwa "handle with care" hata kama matamshi yao yanaudhi.....wewe badala ya kutuelekeza ulipo unaanza kutuuliza kama tunajua wapi ulipo....then what?Acha uongo mkuu,mbona nauliza ni wapi unashindwa kusema?Be straight kuwa ni sehemu fulan,lakin nna uhakika haujawah kufika,na had leo hakuna mtu amewah kuuliza matofali ya wazi,sema hapa uumbuke kuwa ni wapi?
Ndugu unafanya biashara au ugomvi?.....wateja unatakiwa kuwa "handle with care" hata kama matamshi yao yanaudhi.....wewe badala ya kutuelekeza ulipo unaanza kutuuliza kama tunajua wapi ulipo....then what?
Nimesoma thread yote yes.....TEGETA kubwa sana sasa nyiye mko wapiSawa mkuu,ukisoma post zote unaelewa zaidi kuliko moja,nimetoa maelezo ya wapi tulipo zaid ya mara moja,TUPO TEGETA DSM,KARIBU SANA MKUU.
Mkuu Mkayala kama majibu yako ndio haya ya mkato mkato, basi naona wewe na wenzako wanao lalamikiwa na wana JF mna tatizo somewhere i.e arrogance zenu ziko too obvious!!
Kumbuka wateja ni wafalme, unapaswa kupanga majibu yako kwa umakini sana unapo ulizwa na wateja hata kam unaona hayana mantiki yoyote wewe mezea TU; huo ndio ushauri wangu. Cheers.