Quality blocks (matofali) from halaal co ltd....

Quality blocks (matofali) from halaal co ltd....

Back again from the dead, mkuu Makayala ndugu Ubungobungo anacho kushauri kina maana sana - labda nikupe mfano: Yalipo tokea maafa ya kulipuliwa majengo tasa Mjini New York - muhusika mkuu i.e Bin Laden alikuwa na ndugu zake walio kuwa wanaishi Merikani wanafanya Biashara; ndugu zake hao hawakuhusika na mipango hiyo ya kutisha na Serikali ya Merikani ililijua hilo ndio maana hawakuchukuliwa hatua yoyote!

Sasa kilicho kuja tokea baadae ni nini? Ndugu zake waliamuha kubadilisha jina la ukoo yaani bin Laden 2 bin Ladini 4 a reason; nieleweke kwamba nalisema hili kwa nia nzuri tu, si unaona mwenyewe watu wamekwisha anza kuhoji jina la kampuni - kwa kiarabu jina hilo alina tatizo hata kidogo lakini ukumbuke si kila mtu analiona hivyo!
 
Back again from the dead, mkuu Makayala ndugu Ubungobungo anacho kushauri kina maana sana - labda nikupe mfano: Yalipo tokea maafa ya kulipuliwa majengo tasa Mjini New York - muhusika mkuu i.e Bin Laden alikuwa na ndugu zake walio kuwa wanaishi Merikani wanafanya Biashara; ndugu zake hao hawakuhusika na mipango hiyo ya kutisha na Serikali ya Merikani ililijua hilo ndio maana hawakuchukuliwa hatua yoyote!

Sasa kilicho kuja tokea baadae ni nini? Ndugu zake waliamuha kubadilisha jina la ukoo yaani bin Laden 2 bin Ladini 4 a reason; nieleweke kwamba nalisema hili kwa nia nzuri tu, si unaona mwenyewe watu wamekwisha anza kuhoji jina la kampuni - kwa kiarabu jina hilo alina tatizo hata kidogo lakini ukumbuke si kila mtu analiona hivyo!

Asante kwa maelezo mkuu,kampuni yangu imesajiliwa kwa jina Halaal Co. Ltd,maana yake nimejitahid kuelezea na imeendana na kaz yenyewe,na mmiliki ni mim Mtanzania halisi tena mtu mweusi.Mtu kutafsiri tofauti KISA NI KIARABU nadhan ni udhaifu wa kimapokeo,mbona QATAR AIRWAYS haina shida?Karibun kwa matofali yenye ubora wa hali ya juu!!!
 
Tofali zetu zinamwagiwa maji safi yasiyo na CHUMVI ili kuzingatia ubora,KARIBUNI.
 
Karibuni wateja,sasa Halaal inauza MATOFALI ya inch 5 high quality kwa sh 900 tu,karibun mnunue bidhaa bora kabisa kwa hali ya hewa ya Dar es salaam!
 
Asante kwa maelezo mkuu,kampuni yangu imesajiliwa kwa jina Halaal Co. Ltd,maana yake nimejitahid kuelezea na imeendana na kaz yenyewe,na mmiliki ni mim Mtanzania halisi tena mtu mweusi.Mtu kutafsiri tofauti KISA NI KIARABU nadhan ni udhaifu wa kimapokeo,mbona QATAR AIRWAYS haina shida?Karibun kwa matofali yenye ubora wa hali ya juu!!!
Ndugu yangu ingawa na mimi ni mtu wa imani kama yako, nadhani ushauri wa jina la biashara yako na kuwa jina la Kiarabu ni vyema ukautafakari. Je, si vyema ukabadilisha na kuwa HALALI Co LTD kuondoa utata? Kuna magari yanaitwa Yesu ni Jibu, hivi unadhani hata mimi naweza kupanda? Jaribu kukubali challanges mfanyabiashara maana wateja hawatakiwi kukujua itikadi au imani ya mwenye kampuni. Haya yangu tu kama dogo mtoto wa njinjo.
 
Ndugu yangu ingawa na mimi ni mtu wa imani kama yako, nadhani ushauri wa jina la biashara yako na kuwa jina la Kiarabu ni vyema ukautafakari. Je, si vyema ukabadilisha na kuwa HALALI Co LTD kuondoa utata? Kuna magari yanaitwa Yesu ni Jibu, hivi unadhani hata mimi naweza kupanda? Jaribu kukubali challanges mfanyabiashara maana wateja hawatakiwi kukujua itikadi au imani ya mwenye kampuni. Haya yangu tu kama dogo mtoto wa njinjo.

Nashukuru sana nanjilinji kwa ushauri mzuri sana,yan ushauri wako unaleta maana kabisa,ntafanyia kazi,asante sana!
 
Last edited by a moderator:
Karibu upate tofali iliyotengenezwa kwa mashine yenye MGANDAMIZO(pressing power) na MTETEMO(Vibration) ya hali ya juu....
 
Karibun sana Halaal Co. Ltd wateja wetu....
 
Karibuni wateja,sasa Halaal inauza MATOFALI ya inch 5 high quality kwa sh 900 tu,karibun mnunue bidhaa bora kabisa kwa hali ya hewa ya Dar es salaam!

Mkuu nina mpango wa kujenga ila eneo liko bondeni so nitahitaji ushauri wako ikiwa ni pamoja na kununua matofali hapo na mafundi hapo hapo. Maana nyumba yenyewe ingawa nataka iwe nzuri na imara kukidhi misukosuko ya eneo hilo ila nahitaji iwe ya gharama nafuu kulingana na mazingira ya hapo na kuepuka hasara kubwa baadae iwapo litatokea la kutokea. Natarajia ujenzi uanze kidogo kidogo toka mwezi wa 6 na kufikia mwezi December mwaka huu nyumba iwe imesimama tayari na kubakia finishing tu sehemu sehemu. Je huduma zote hizo naweza pata hapo kwa affordable costs?
 
Mkuu nina mpango wa kujenga ila eneo liko bondeni so nitahitaji ushauri wako ikiwa ni pamoja na kununua matofali hapo na mafundi hapo hapo. Maana nyumba yenyewe ingawa nataka iwe nzuri na imara kukidhi misukosuko ya eneo hilo ila nahitaji iwe ya gharama nafuu kulingana na mazingira ya hapo na kuepuka hasara kubwa baadae iwapo litatokea la kutokea. Natarajia ujenzi uanze kidogo kidogo toka mwezi wa 6 na kufikia mwezi December mwaka huu nyumba iwe imesimama tayari na kubakia finishing tu sehemu sehemu. Je huduma zote hizo naweza pata hapo kwa affordable costs?

Ndio mkuu,huduma hizo utapata vizur kabisa,karibu ofisin kwetu tuongee vizuri,TEGETA kituo Nyaishozi...KARIBU SANA.
 
Karibun wateja wetu kwa UJENZI IMARA....
 
Kutokana na mahitaji ya WATEJA wetu,sasa matofal ya nchi 5 ni Sh 900,na yale ya nchi 6 ni Sh 1000...,KARIBUNI SANA KWA UJENZI IMARA..!
 
Leo weekend karibuni mtutembelee wateja,mdhibitishe UBORA WA BIDHAA ZETU,TEGETA NYAINYOZI,DAR ES SALAAM.
 
Back
Top Bottom