You could try that one!Hahaaa ni kama majina mengine tu,mfano Wasafi classic n.k
Wala haihitaji mwangaza wa mshumaa kujua hii kampuni ina watu wajeuri, wee unapata bahati ya watu kukwambia sifa za kampuni yako badala ya kuchukua na kufanyia kazi, unazidi kudhihirisha ujeuri!? Kuwa mpole na mkarimu jibu hoja/tuhuma kwa hekmaAcha uongo mkuu,mbona nauliza ni wapi unashindwa kusema?Be straight kuwa ni sehemu fulan,lakin nna uhakika haujawah kufika,na had leo hakuna mtu amewah kuuliza matofali ya wazi,sema hapa uumbuke kuwa ni wapi?
Wala haihitaji mwangaza wa mshumaa kujua hii kampuni ina watu wajeuri, wee unapata bahati ya watu kukwambia sifa za kampuni yako badala ya kuchukua na kufanyia kazi, unazidi kudhihirisha ujeuri!? Kuwa mpole na mkarimu jibu hoja/tuhuma kwa hekma
Samahani sikukujibu maana ilibidi niende Arusha kuwajulua hali wenzetu maana imekuwa fasheni kwa kila kiongozi kuenda Hospitali Arusha na kupigwa picha. Kwa vile mimi ni kiongozi wa walalahoi ilibidi niende kwa bajaji ingawa wao wanaenda kwa ndege. RED - nadhani picha inajionyesha, kama sio kwenyewe nitaomba unisameheAcha uongo mkuu,mbona nauliza ni wapi unashindwa kusema?Be straight kuwa ni sehemu fulan,lakin nna uhakika haujawah kufika,na had leo hakuna mtu amewah kuuliza matofali ya wazi,sema hapa uumbuke kuwa ni wapi?
Samahani nadhani picha umeipataSawa asante,lakin mtoa tuhuma si mkwel ndio maana nimemuuliza swali dogo tu kama kwel anajua tulipo kaingia mitini.Hao ni wauza tofali pia maeneo ya Tegeta,lengo ni kuchafua anasifia yake!
Kukudhihirishia kwamba dogo mimi nakufahamu sana, hilo lilikuwa shamba la Mama Munuo alikuwa anafuga nyati na sasa linamilikiwa na mwanaye Frank Munuo. Mpo jirani na kiwanda cha kutengeneza vyakula vya kuku cha mpemba. BishaIpo TEGETA kituo cha NYAISHOZI,barabaran upande wa kushoto kama unatoka MWENGE....Usafir upo njoo tuongee,KARIBU SANA.