nanjilinji
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 1,206
- 566
Kwenye Red utawaonea maana na foleni hizi sijui. Ila kaka yangu nisimsemee maana siku hizi fedha inaweza kufanya loloteNashukuru kwa taarifa,je mna washauri wa ujenzi?Nahitaji matofali haraka na nataka kujenga nyumba vyumba vitano,sebule,jiko,dinning an bafu,je ni matofali kiasi gani na je mtanibebea hadi msewe?je mna mafundi wa ujenzi wa kuaminika na kma mnao nitumie massage private