Quality assuarance ni vyuo vyote?

Quality assuarance ni vyuo vyote?

Decree Holder

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
2,559
Reaction score
3,747
Wanajamvi salaam!

Tokea mwaka jana kumekuwapo na pesa kiasi cha shilingi 20000 huwa tunalipishwa kwa kila mwanafunzi inaitwa quality assuarance. Mwaka jana baada ya serikali ya wanafunzi kufuatilia tuliambiwa ni pesa ya TCU.

Naombeni kujua kama vyuo vingine vinalipa hii kitu au ni UDOM peke yake na je inawezekanaje TCU iendeshwe kwa pesa zetu ina maana wameshindwa kujiendesha kwa pesa za serikali?
 
Wanajamvi salaam!

Tokea mwaka jana kumekuwapo na pesa kiasi cha shilingi 20000 huwa tunalipishwa kwa kila mwanafunzi inaitwa quality assuarance. Mwaka jana baada ya serikali ya wanafunzi kufuatilia tuliambiwa ni pesa ya TCU.

Naombeni kujua kama vyuo vingine vinalipa hii kitu au ni UDOM peke yake na je inawezekanaje TCU iendeshwe kwa pesa zetu ina maana wameshindwa kujiendesha kwa pesa za serikali?
Vyuo vyote punguza jazba
 
Hata sisi tunalipa quality assurance.

Swali ni je,hii quality assurance inayofanywa na TCU ni ipi?na kwanini sisi ndio tuifund?
 
Wanajamvi salaam!

Tokea mwaka jana kumekuwapo na pesa kiasi cha shilingi 20000 huwa tunalipishwa kwa kila mwanafunzi inaitwa quality assuarance. Mwaka jana baada ya serikali ya wanafunzi kufuatilia tuliambiwa ni pesa ya TCU.

Naombeni kujua kama vyuo vingine vinalipa hii kitu au ni UDOM peke yake na je inawezekanaje TCU iendeshwe kwa pesa zetu ina maana wameshindwa kujiendesha kwa pesa za serikali?
Ndio inalipwa kama kawaida kua mpole na kuvumilia tu
 
Hiyo Pesa ipo vyuo Vyote Sio UDOM pekee! Ni Mkwanja Unaoingia TCU kimya kimya....
 
sina hakika kama kuna chuo kikuu wanafunzi hawatoi hii 20000/=
 
Na hyo pesa huwa tunailipia kwa mwaka wa kwanz tuuu or kila mwakaa?
 
Swali ni quality assurance ya aina gani TCU wanafanya ambayo inabidi mtu alipie 20000 kila mwaka? Au ni njia ya tax collection?
 
Swali ni quality assurance ya aina gani TCU wanafanya ambayo inabidi mtu alipie 20000 kila mwaka? Au ni njia ya tax collection?

Hapo Ni Wizi Wa TCU tu Manake Kama Ni Hela Tunawalipa 50,000/= Wakati Wa Kuapply Chuo Lakini Still Bado Wanakamua 20,000....
 
Back
Top Bottom