Bandiwe
JF-Expert Member
- Oct 19, 2013
- 9,530
- 3,553
Hata Ngeleja alilipia kodi, mwishowe akazirudisha zote ! (eskrow)k
kulipa kodi hakuhalalishi wizi mkuu
Hata Ngeleja alilipia kodi, mwishowe akazirudisha zote ! (eskrow)k
kulipa kodi hakuhalalishi wizi mkuu
Umejiunga kwenye utapeli subiri kuliaNami nilikuwa mpumbavu kama nyinyi mwanzoni. Mungu aliponipa nafasi ya kufanya utafiti hasa baada ya mwenzangu kujiunga Leo najuta kwanini sikujiunga mapema!!?
Siku IPO Mungu awatoe mawingu meusi yaliyozingira bongo zenu
Hahaha mimi pia niliwai kutana nao nikawasoma fasta nikaingia mitinimimi kuna jamaa yangu mmoja aliniambia kuna fursa kesho twende ukasikilize, ila kwa vile mjini shule nikang'amua kuwa itakuwa ni moja ya hizi pyramids scheme maana mtu hawezi tu kuanza kukualika kwenye fursa yenye hela kizembe tu.
basi nikaenda mikocheni pale nafika nashangaa watu wanasalimiana good morning mchana, wakanieleza pale mambo meengi kweli kweli wakati naondoka nikawaahidi nitarudi
wakajua wamepata kichwa kumbe michezo hiyo naijua kitambo
Mm siyo mtoto Mdogo wala mjinga. Keep your doubts, I keep money. Ok?Umejiunga kwenye utapeli subiri kulia
Kwani net wtk siyo kazi?Good point, Jana kuna rafiki mmoja yuko Qnet kanifuata na BMW nakiajiuliza amenunua lini Gari hii? Oh Mimi Nina pesa sana lakini kichwa kama changu kashindwa kwasababu nawajua wapigaji wale.
Pia wamewafanya vijana wengi kuacha kazi zao nzuri masikini
Q net wamehaidi kujenga kiwanda Tanzamia . Nyinyi kalagabao
QNet ni matapeli. Acha kutetea ujinga. Tangazo gazetini si linalipiwa tu. Na tapeli siku zote anacheza vizuri na sheria ukimfuatilia unakuta hakuna sheria aliyovunja.Tangulini MATAPELI WAKATANGAZWA KWENYE GAZETI KAMA HILO.. pitieni gazet la THECIZITEN la tarehe ya leo 30 may 2017. Mjionee ukweli kuhusu qnet.. WATANZANIA TUJIFUNZE KUPIMA MAMBO KWA FACTS na sio kukurupuka na kusikiliza kila opinions. Thanks.
Umenikumbusha mbaliForever living
Nami nshaitwa kwenye semina, sasa hii salamu yao ilinipa ukakasi, "good morning" wakati ni saa tisa, nikaona haina uhalisia, na semina zao wanakupa dozi kidogo ukiwa na maswali wanakwambia hayo utajibiwa kesho!!!mimi kuna jamaa yangu mmoja aliniambia kuna fursa kesho twende ukasikilize, ila kwa vile mjini shule nikang'amua kuwa itakuwa ni moja ya hizi pyramids scheme maana mtu hawezi tu kuanza kukualika kwenye fursa yenye hela kizembe tu.
basi nikaenda mikocheni pale nafika nashangaa watu wanasalimiana good morning mchana, wakanieleza pale mambo meengi kweli kweli wakati naondoka nikawaahidi nitarudi
wakajua wamepata kichwa kumbe michezo hiyo naijua kitambo
Raha yake utapeli wenu huwa haudumu ni suala la muda tu utalia mkishapewa semina mnakuwa kama machizi wa kuota utajiri baadae akiri itakurudi ukiwa ushachelewa.Mm siyo mtoto Mdogo wala mjinga. Keep your doubts, I keep money. Ok?