ma2mbo
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 697
- 326
msanii wa bongofleva Qchief a.k.a 'Asali' amekuwa akienda kupiga show nyingi sana uko Mombasa na mara zote amekuwa akiongozana na promota wake Pedeshee Chief Kiumbe...kwa wadau waliowai kufika Mombasa au wanaoifahamu vizuri watujuze kwa nini uyu msanii show zake zote anaenda kufanyia Mombasa tena akisindikizwa na uyo promota wake mara zote..