Endangered
JF-Expert Member
- Sep 22, 2011
- 922
- 231
Mkuu Mtwara hakuna wanyama wa kutorosha kumbe tuvute subiraHuku Mtwara lini wataanza kutua?
Safi sana, this was expected soonest. Kwahiyo KIA sasa kuna flights 5 za uhakika
1. KLM
2. Qatar
3. Ethiopian airlines
4. South African airways
5. Precision air
6. ATCL, ngoja tuweke na hii ya kwetu though inasuasua
Mkuu KIA hakuna south African Airways bali ipo Kenya Airways, Usisahau wajerumani wa Condor Air
Basi hii habari ilikuwa ina mislead, though it is recent
Very soon Qatar Air will have direct flights from Doha to Kilimanjaro which will complement the daily flights made by KLM, Ethiopia Airlines, Precision Air and South African Airways. We intend to attract more airlines, said Mr Nyalandu.
Source:KIA to have greater air travel traffick - In2EastAfrica - East African news, Headlines, Business, Tourism, Sports, Health, Entertainment, Education
Ndege zitakapoanza kutumia gesi badala ya mafutaHuku Mtwara lini wataanza kutua?
Mkuu KIA hakuna south African Airways bali ipo Kenya Airways, Usisahau wajerumani wa Condor Air
7. Kenya airwaysSafi sana, this was expected soonest. Kwahiyo KIA sasa kuna flights 5 za uhakika
1. KLM
2. Qatar
3. Ethiopian airlines
4. South African airways
5. Precision air
6. ATCL, ngoja tuweke na hii ya kwetu though inasuasua
Hivi ATCL inatua viwanja gani Tanzania?
mwanza,KIA na JKN
Hivi Twiga wetu watakuwa salama huko pamoja na rasilimali zetu?
Mkuu hao kwenye nyekundu huwa wanafanya safari za KIA wakati wa summer tu. Kipindi kingine hawapo
Shinyanga itatua lini wakuu? Naona kanda ya ziwa tusahau mpaka tutakapopata kichwa chenye akili ya kuvutia wawekezaji wa kutosha mikoa yetu!! Mwanza mwaka jana mtoto wa mkulima alishindwa kupaa kutokana na maji kujaa uwanjani, viwanja vingine vimejaa vumbi na kila aina ya hatari Lol kweli amamu ya 4 wameamua kututenga na kutufanya vitega uchumi tu!! Vyuo vikuu hakuna, barabara ndo usiseme, bei ya pamba imeshushwa kwa 50% ya bei mwaka jana, madini ndiyo hayo tena, shule za maana (sekondari na A level) ni full magumashi. Bora tuanze harakati za kujitenga!!
Nyie ngojeni tutaanza kuwatungua kwa magurunet juu kwa juu!!Huko Shinyanga tunafuata gold, diamond na vingine kwa helicopter, nyie endeleeni kufuga ng'ombe!