Qatar, Nyalandu, TTB na Balozi Maharage UAE

Kwa taarifa zenye uhakika nilizozipata hivi punde!
Qatar Airways kwa mara ya kwanza imetua katika uwanja wa Kimataifa wa KIA. Wadau na wafanya biashara wanaoelekea katika nchi za uarabuni wakitokea Arusha na Kilimanjaro wataweza kupata usafiri wa moja kwa moja kutokea KIA kuelekea nchi za Arabuni
Ni moja ya maendeleo maana kabla ya hapo ilikuwa inatua nairobi and then Dar es Salaam!
Hongereni wana KIA

AMEN............
 
img_logo.jpg

Nimeipenda ghafla ulimwengu unafunguka ukanda wa kaskazini....
 
Kwa taarifa zenye uhakika nilizozipata hivi punde!
Qatar Airways kwa mara ya kwanza imetua katika uwanja wa Kimataifa wa KIA. Wadau na wafanya biashara wanaoelekea katika nchi za uarabuni wakitokea Arusha na Kilimanjaro wataweza kupata usafiri wa moja kwa moja kutokea KIA kuelekea nchi za Arabuni
Ni moja ya maendeleo maana kabla ya hapo ilikuwa inatua nairobi and then Dar es Salaam!
Hongereni wana KIA

AMEN............

Qatar Airways naona biashara imewaendea vyema TZ maana walianza na kadege kadogo, kisha wakaleta kubwa na sasa wana flight mbili kila siku kuja na kutoka DAR na sasa wametua KIA.
 
kaskazini hoyee

Mkuu nimewapenda sana Qatar Airways, Maana wamekuwa wepesi kusoma upepo na alama za nyakati
Nakumbuka wakongwe ni Air Emirates lakini hawa jamaa wa Qatar wanaelekea kuwapiku......
Ila tuangalie sana Maana nasikia Mkenya ndiye Branch Manager wa pale KIA na ukizingatia imevunja safari zake za nairobi , Asije akaleta madudu tukawakosa tena.........................
 
Changamoto kwa local airlines kama precision

Wamesumbuliwa na Kenya Airways na Sasa Wameibuka wengine Qatar Airways
Dah hawa wenzangu na mie Air Tanzania the wings of Kilimanjaro naona upepo kwao bado si mzuri......
 
Huku Mtwara lini wataanza kutua?

Hahahaha nilifikiri ungeuliza uwanja wa Songwe (sijui kama nimepatia jina) wa Mbeya ambao ndege ya Mkuu wa kaya ulitua juzi juzi ili kuziba midomo ya wajuvi wa mambo bungeni..
 
Hahahaha nilifikiri ungeuliza uwanja wa Songwe (sijui kama nimepatia jina) wa Mbeya ambao ndege ya Mkuu wa kaya ulitua juzi juzi ili kuziba midomo ya wajuvi wa mambo bungeni..

Nyie wa kaskazini mnatutenga sana watu wa kusini maendeleo mnajipelekea kaskazini
 
Mkuu nimewapenda sana Qatar Airways, Maana wamekuwa wepesi kusoma upepo na alama za nyakati
Nakumbuka wakongwe ni Air Emirates lakini hawa jamaa wa Qatar wanaelekea kuwapiku......
Ila tuangalie sana Maana nasikia Mkenya ndiye Branch Manager wa pale KIA na ukizingatia imevunja safari zake za nairobi , Asije akaleta madudu tukawakosa tena.........................

Kwa kukusahihisha kidogo, qatar hajavunja safari ya Nairobi napo ana 2 flight daily from nairobi to doha and then connected you to the world, ameongeza trip from Kia as amegundua kuna chance ya customers watu wanasafir safir sana na watalii wanakuja huko so itakuwa rahis kupata customers from Kia to doha and then connected them to its 115 destinations worldwide,

Jamaa wanajua biashara maana hiyo new doha international airport for connection sio mchezo, na biashara ya ndege ndo mojawapo ya nguzo za uchumi wao ukitoa mafuta so lazima wapeleke flight kila wanapohis kuna customers
 
Kwa kukusahihisha kidogo, qatar hajavunja safari ya Nairobi napo ana 2 flight daily from nairobi to doha and then connected you to the world, ameongeza trip from Kia as amegundua kuna chance ya customers watu wanasafir safir sana na watalii wanakuja huko so itakuwa rahis kupata customers from Kia to doha and then connected them to its 115 destinations worldwide,

Jamaa wanajua biashara maana hiyo new doha international airport for connection sio mchezo, na biashara ya ndege ndo mojawapo ya nguzo za uchumi wao ukitoa mafuta so lazima wapeleke flight kila wanapohis kuna customers

Mkuu kuna tetesi kuwa biashara ya Nairobi itaharika kutokana na political instability kuelekea uchaguzi ndo maana wameanziasha trip ya kia....
 
Mkuu kuna tetesi kuwa biashara ya Nairobi itaharika kutokana na political instability kuelekea uchaguzi ndo maana wameanziasha trip ya kia....

J
May be but sizan kama political instability ya nairobi ni ishu sana maana qatar wana trip hadi iraq tena in 2 different cities, to be honest qatar ndo my choice kwenye safar zangu as reasonable price and confortable,free internet wakat unawait connections and so on, yaan wame master sana trip za asia any day ukitaka kubadili your return ticket unakuta flight ipo, I wish wafike hadi tandahimba
 
Kwa taarifa zenye uhakika nilizozipata hivi punde!
Qatar Airways kwa mara ya kwanza imetua katika uwanja wa Kimataifa wa KIA. Wadau na wafanya biashara wanaoelekea katika nchi za uarabuni wakitokea Arusha na Kilimanjaro wataweza kupata usafiri wa moja kwa moja kutokea KIA kuelekea nchi za Arabuni
Ni moja ya maendeleo maana kabla ya hapo ilikuwa inatua nairobi and then Dar es Salaam!
Hongereni wana KIA

AMEN............

Safi sana, this was expected soonest. Kwahiyo KIA sasa kuna flights 5 za uhakika
1. KLM
2. Qatar
3. Ethiopian airlines
4. South African airways
5. Precision air
6. ATCL, ngoja tuweke na hii ya kwetu though inasuasua
 
Back
Top Bottom