As Salafiyyu91
JF-Expert Member
- Jan 11, 2014
- 2,537
- 2,544
Tumpe udhuru wa Ujinga hajui anachosema ila kazungumza maneno ya Kufru kubwa Sana!!Huyu shetani Adhana inahusikaje hapo laana ya mungu ikufikie
Tumpe udhuru wa Ujinga hajui anachosema ila kazungumza maneno ya Kufru kubwa Sana!!Huyu shetani Adhana inahusikaje hapo laana ya mungu ikufikie
kaka umejibu vizuri sana, kaswida hazishabihiani kokote na uislam, bali ni genre"Hekma" na ukongwe wako vimenifanya nisikupe harsh-counterargument".
Muziki kama muziki hauwi defined kwa dini..Rather an "artistic form of auditory communication" involving instrumental or vocal tones in a well arranged and continuous manner...!
Hata hivyo nadhani muuliza swali kuna kitu alitaka kujua,;ni bahati mbaya hakujua namna ya kuliweka swali lake.
Kwa Ufupi, Kwaswida (Qaswida) ni genre ya muziki, ikirandana na Classical/Baroque genre.
Dini inahusikaje hapo we bongo lalaWAIMBA MUZIKI WENGI BONGO NI DINI HIYO.
Hamuambiwagi kitu nyie. Ninyamaze tu...
Tambua kwamba uislamu una sheria zake na taratibu zake.Sio kaswida tuu hata ile sauti ya adhana ni muziki kwani naweza kukuchorea nota zake kwa sababu ni melodic
jibu murua no discusion mkuuNeno Qaswida (قصيدة)maana yake ni nyimbo.
Mleta mada bila ya shaka alitaka kujua uhalali wa muziki katika uislam. Bila ya shaka uislam unapinga na kuharamisha muziki, iwe inaimbwa kwa kuegemezea kwenye dini au vyovyote vile.
Na wale wote wanaoimba hizo nyimbo na kutia ala za muziki wanafanya makosa.
🙁 Nguruwe tena?...Allaah Ataifanya ardhi kuwameza wote na kuwageuza kuwa nyani na nguruwe
Kaswida kama kaswida ni kumsifu na kumtukuza mtume bila ya kutumia kitu kilichowambwa na ngozi! Nikusoma tu na kumswalia bwana wetu mtume!! Sasa unachokiona sasa hivi hizi ni mabadiliko yakidunia tu na wala mtume hakuyafanya haya uyaonayo! Ila wakikubali kusoma basi wataepuka kufanya haya wayafanyao!! So ukiona ngoma zinapigwa na danci zinaangushwa basi jua kabisa wanafanya makosa!!uislamu unapinga muziki je Qaswida nini au Ni aina gani ya muziki ambao wanaupinga na kuita haramu
Hata kama hauna ala bado ni muziki. Ina maana nikienda studio kurekodi wimbo wangu bila kutumia kifaa chchote cha muziki, hautaitwa wimbo? je ! wewe wafahamu maana ya accappela ? HUO NI MUZIKI UNAOIMBWA BILA ALA YOYOTE BALI SAUTI ZA BIN ADAM TUU.Tambua kwamba uislamu una sheria zake na taratibu zake.
Muziki kwa sheria ya kiislamu ni ule unaojumuisha ala. Sasa adhana haina ala
Ndio hivyo, Siku ya Qiyama Mwenyez Mungu atawafufua Nyani na nguruwe, Wapenda Nyimbo na mziki,🙁 Nguruwe tena?
Kumsisifu mtume kupita ngoma!!!!!! Kama sio umedata kiwe nini, Kumsifu na kumtukuza Mtume صل الله عليه وسلم ni kwa Kushika na kufuata Sunnah zakeKaswida kama kaswida ni kumsifu na kumtukuza mtume bila ya kutumia kitu kilichowambwa na ngozi! Nikusoma tu na kumswalia bwana wetu mtume!! Sasa unachokiona sasa hivi hizi ni mabadiliko yakidunia tu na wala mtume hakuyafanya haya uyaonayo! Ila wakikubali kusoma basi wataepuka kufanya haya wayafanyao!! So ukiona ngoma zinapigwa na danci zinaangushwa basi jua kabisa wanafanya makosa!!
Ni mziki kama miziki mengine na hazijaruhusiwa na uislamuislamu unapinga muziki je Qaswida nini au Ni aina gani ya muziki ambao wanaupinga na kuita haramu
nguruwe wanasikiliza muzikiNdio hivyo, Siku ya Qiyama Mwenyez Mungu atawafufua Nyani na nguruwe, Wapenda Nyimbo na mziki,
Tosheka na hilo.....
siku ya maulidi wanapigaga wa kristo auNi mziki kama miziki mengine na hazijaruhusiwa na uislam