passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 5,881
- 11,367
Ulaya wanalialia Sana kaona afanye ubinadamuKwani si tulikubaliana mpaka watoe vikwazo au
Ulaya wanalialia Sana kaona afanye ubinadamuKwani si tulikubaliana mpaka watoe vikwazo au
Yeye alitoa sharti kuwa lazima kwanza vikwazo viondolewe, ndipo atafungulia tena gesi!!je hilo takwa lake limetimizwa???Wao ndo wameenda kupiga magoti hebu tulieni kwanza
Dah!! Nipo ndugu yangu, vipi hali yako kaka?Mdau upo?
Pengine hii itafanya aje auze gas kwa bei rahisi sababu demand yake sio kubwa kama awali.Yeye alitoa sharti kuwa lazima kwanza vikwazo viondolewe, ndipo atafungulia tena gesi!!je hilo takwa lake limetimizwa???
Huyu ni Homecidal dictator
( Dikiteta wa nyumbani na muuuaji mpuuuzi)
Sent from my Nokia 1 Plus using JamiiForums mobile app
Putin umbembeleze si atakutangaza dunia mzimaMsipayuke tu watu wamebembeleza kwa machozi tena yule mama yao mstaafu wa ujerumani baada ya maandamo ujerumani
View attachment 2349061
Putin sio kama wewePutin umbembeleze si atakutangaza dunia mzima
Tulisema humu hawana mbadala,,,,muda umetupa jibu.Ulaya wanalialia Sana kaona afanye ubinadamu
Kwani hiyo turbine si ilishafika Ujerumani kitambo. Tatizo jamaa alidhani alivyokata gas wenzake wangempapatikia kumbe walishajua siku nyingi kwamba jamaa atawapiga solex wakaanza kupunguza matumizi pamoja na kufufua mitambo ya kuchoma makaa ya mawe. Germany juzi kapitisha Euro 65 bilion kusaidia kupunguza Bei ya nishati,yeye hiyo Gas yake ainywe.
Kwahiyo ni kweli Vikwazo vinamuhenyesha bwana Putin ameshaanza kulialia viondolewePietro,Umemwelewa putin lakini? Anasema turbine ikifika Moscow kesho yake tu anafungulia ges. Kumbuka turbine ipo Germany tiari ikitokea Canada kwenye matengenezo.
Na usisahau kwamba amegoma kuipokea makisudi kwa sababu ya vikwazo na aliwauliza kwani turbine haipo inclusive kwene list ya goods & services chini ya vikwazo?
For your information ni kwamba anawaambia kwa mafumbo mengi sana kwamba ili niwafungulie gas kwanza lazima nipate turbine, na ili niipokee hiyo turbine yenu ni shart muondoe huo upuuzi wenu mnaouita sanctions. Vinginevyo tukutane winter
wakikujibu nitagKwahiyo ni kweli Vikwazo vinamuhenyesha bwana Putin ameshaanza kulialia viondolewe
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kweli huyu huyu ni mwendawazimuHuyu jamaa sasa hivi akapimwe maana anakoelekea ni kituko, si alidai hatorudisha gesi hadi waondolewe vikwazo vyote.
Now kikwazo ni turbine.
Putin says Russia will restart Nord Stream 1 gas flows 'tomorrow' if it gets turbines, and blames sanctions for the shutdown Karen Friar
State-owned energy company Gazprom has slashed the supply of natural gas to Europe.AFP/Getty Images
Russian President Vladimir Putin said Wednesday that Gazprom could restart gas flows to Europe via the key Nord Stream 1 pipeline tomorrow, if it gets the turbines needed.
- President Vladimir Putin said Russia could restart gas flows to Europe via Nord Stream 1 'tomorrow', if it gets turbines.
- Russia indefinitely halted flows through the pipeline last week, intensifying Europe's energy crisis.
- He blamed Germany and Western sanctions for the indefinite halt in operations for the pipeline.
He blamed Germany and Western sanctions for the indefinite halt in operations for the pipeline, according to media reports from his speech at the Eastern Economic Forum
Source yahoo latest news
Nimemuelewa Sana hata ukisoma comment yangu nimeeleza hilo suala la Turbine. Hiyo turbine ilishakua serviced Canada ikatua Germany muda tu na Chancellor wa Ujeruman Olaf Scholz aliitembelea akiwasihi warusi waje waichukue lakini walikaa kimya. Juzi wakaja na kauli mpya kwamba hawatofungua bomba mpaka vikwazo viondolewe,Leo Putin anasema turbine ikiletwa Leo kesho yake anafungua gas.Pietro,Umemwelewa putin lakini? Anasema turbine ikifika Moscow kesho yake tu anafungulia ges. Kumbuka turbine ipo Germany tiari ikitokea Canada kwenye matengenezo.
Na usisahau kwamba amegoma kuipokea makisudi kwa sababu ya vikwazo na aliwauliza kwani turbine haipo inclusive kwene list ya goods & services chini ya vikwazo?
For your information ni kwamba anawaambia kwa mafumbo mengi sana kwamba ili niwafungulie gas kwanza lazima nipate turbine, na ili niipokee hiyo turbine yenu ni shart muondoe huo upuuzi wenu mnaouita sanctions. Vinginevyo tukutane winter