Axel Lloyd
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 4,169
- 9,498
Hapo sawa
Hapo sawa
Hiyo Gas siku Moja ataiuza kwa bei ya kutupwa.Kumbuka hata Ujerumani Hadi Sasa amesha fyeka more than 16% Kwenye utegemezi wa Gas Toka Urusi.UK ndio Hana time kabisa na Gas ya Urusi anaipata Toka Norway kitambo .Italy katulia zake kitambo sana alishaona njia Algeria ndio mkombozi wa Italy.Qatar anasupply LNG kwa nguvu,70% ya US LNG inaenda Ulaya.Urusi anambembeleza mchina anunue Gas.China na India wamekomba mafuta ya Russia Sasa hawataki Tena mafuta yake.Putin kifupi anachemka kugeuza bidhaa inayokupa pesa kama silaha kwa mteja wake.Pietro,Umemwelewa putin lakini? Anasema turbine ikifika Moscow kesho yake tu anafungulia ges. Kumbuka turbine ipo Germany tiari ikitokea Canada kwenye matengenezo.
Na usisahau kwamba amegoma kuipokea makisudi kwa sababu ya vikwazo na aliwauliza kwani turbine haipo inclusive kwene list ya goods & services chini ya vikwazo?
For your information ni kwamba anawaambia kwa mafumbo mengi sana kwamba ili niwafungulie gas kwanza lazima nipate turbine, na ili niipokee hiyo turbine yenu ni shart muondoe huo upuuzi wenu mnaouita sanctions. Vinginevyo tukutane winter
Wanaolia tunawaona ...dunia ya sasa sio ya zama za kale watu mnakusanyika jioni kusikiliza stori za lofa mmoja akiwapa habari za dunia.............na jitihada zenu zote za kuzuia habari za urusi safari hii hali ngumu mbivu na mbichi zinaonekanaPutin kasema!!!!!!!
Hivi huko Russia kuna chombo gani huru cha habari?! Embu jaribu kuandamana uone cha mtema kuni!! Hata hii operation kuita Vita inaweza kukupeleka jela. Jamaa kaziba watu midomo halafu anakuja kwenye media kujitapa,RCB wenyewe walieleza wazi kwamba Uchumi wa Urusi utashuka.
Yanayotokea Russia nafananisha na enzi za mwendazake hapa Bongo,serikali inatoa data za kupika ole wako uzipinge,unapewa kesi ya money laundering na uhujumu uchumi
Limeteuliwa na wewe hakuna shida😄
Demand bado ni kubwa kuliko supply hizo zako ndoto za mchana .........na huko ulaya shida sio kupata gesi..shida ni kupata gesi ya gharama nafuu itakayofanya nchi izalishe bidhaa zenye ushindani duniani, kumbuka kwa sasa mchina na mrusi wanajipatia gesi na mafuta kwa bei kitonga kabisa effect yake itaonekana muda si mrefu.....Hiyo Gas siku Moja ataiuza kwa bei ya kutupwa.Kumbuka hata Ujerumani Hadi Sasa amesha fyeka more than 16% Kwenye utegemezi wa Gas Toka Urusi.UK ndio Hana time kabisa na Gas ya Urusi anaipata Toka Norway kitambo .Italy katulia zake kitambo sana alishaona njia Algeria ndio mkombozi wa Italy.Qatar anasupply LNG kwa nguvu,70% ya US LNG inaenda Ulaya.Urusi anambembeleza mchina anunue Gas.China na India wamekomba mafuta ya Russia Sasa hawataki Tena mafuta yake.Putin kifupi anachemka kugeuza bidhaa inayokupa pesa kama silaha kwa mteja wake.
Kipi hakijaeleweka hapo........turbine nayo ipo kwenye hizo sanctions sasa mrusi awasaidiajeGas flows to Europe won’t resume until sanctions lifted: Russia
The Kremlin
Russian gas supplies to Europe will not resume until Western sanctions against Moscow are lifted, the Kremlin has said.
Dmitry Peskov, the Kremlin spokesman, said on Monday the sanctions were the sole reason behind Russia’s decision to shut the Nord Stream 1 (NS1) pipeline. Moscow initially said it was shutting the pipeline, which supplies gas to Europe, for maintenance.
ALJAZEERA
Mna exempt si hamna shida na mrusi nyie??hio exemption inakuaje tena huna msuli wa kugoma kabisa?? Hayo hilo turbine ndo gesi??Hujui km gas ilikua exempted from sanctions?!
Hahahaha Leo Putin anaongea kimafumbo Duuuh
Sasa wabishie mpaka hawa TASS wapambe wa Putin, Ujerumani ilishawapa go ahead wachukue hiyo turbine tangu August 11 wakakausha. Wakaja kusema hawafungui bomba mpk vikwazo viondolewe,Leo Putin analia tena anaitaka turbineKipi hakijaeleweka hapo........turbine nayo ipo kwenye hizo sanctions sasa mrusi awasaidiaje
Na video hii hapa chini,bisha na hii.Mna exempt si hamna shida na mrusi nyie??hio exemption inakuaje tena huna msuli wa kugoma kabisa?? Hayo hilo turbine ndo gesi??
Urusi inataka kuuza gesi Ulaya sababu hilo bara lina faida kwake katika hiyo biashara, kama sivyo asingetumia resorces zake kufikisha gesi Ulaya.Mna exempt si hamna shida na mrusi nyie??hio exemption inakuaje tena huna msuli wa kugoma kabisa?? Hayo hilo turbine ndo gesi??
Wanajitekenya wenyewe ....Ulaya hawana mbadala nafuu kwa nishati aluyoouwa wakiipata RussiaKama China kakubali kulipa kwa Ruble sisi ni nani tubishe na kupiga ramli?
Hayo ni makubaliano yao wenyewe maana hapa nilipo mvua imenyesha Sana na baridi kwa mbali
Sasa bora wazungu wakubali tu masharti ili tusife kwa baridi
Qatar peke hawezi
Putin anawapelekesha haswa na hii kampuni ni ya 23 duniani
Sio mchezo
Pro NATO bana ....hapo nsni sasa analia lia kwa mwenzie?Putin amekuwa ombaomba mpaka wa vipuri vya mitambo.
Na hwatakaa wapate ..hizo kelele za green energy... what not ...ni chai tuu ...kwa sasaTulisema humu hawana mbadala,,,,muda umetupa jibu.
Ukisikia akili kubwa ndo kama hizi ....you gota apprecite this chess playerPietro,Umemwelewa putin lakini? Anasema turbine ikifika Moscow kesho yake tu anafungulia ges. Kumbuka turbine ipo Germany tiari ikitokea Canada kwenye matengenezo.
Na usisahau kwamba amegoma kuipokea makisudi kwa sababu ya vikwazo na aliwauliza kwani turbine haipo inclusive kwene list ya goods & services chini ya vikwazo?
For your information ni kwamba anawaambia kwa mafumbo mengi sana kwamba ili niwafungulie gas kwanza lazima nipate turbine, na ili niipokee hiyo turbine yenu ni shart muondoe huo upuuzi wenu mnaouita sanctions. Vinginevyo tukutane winter
Endelea kujaza gundi kwenye ubongo ...Kwahiyo ni kweli Vikwazo vinamuhenyesha bwana Putin ameshaanza kulialia viondolewe
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Hahahaaa ...nyie bakini na kibabu dementia ..huyo Genious Putin sio level yenuhuyu looser anapandwa kichaa taratibu, muda si mrefu watu wake watashtuka wanadeal na mtu kimeo
Daaah mkuu, unajua ni mabomba mangapi yanajengwa toka Russia kwenda kwa wateja wengine hivi sasa?Vikwazo haviondolewi ndio maana Urusi kaanza kulegea toka kwenye hafungui gas mpk aondolewe vikwazo mpaka Kwa turbine ikifika Leo kesho tunafungulia gas. Jamaa kaona Ulaya hawambembelezi washaanza kujiandaa kuingia winter bila gas ya Urusi German inaagiza coal ya kutosha toka South Africa,wanasitisha kufungia vinu vya nyuklia,wanapunguza matumizi,na juzi wametoa ruzuku.
Wao wameziexempt bidhaa sababu wanazihitaji kazi inabaki kwa Urusi azipige pin zisiende Ulaya (na usisahau kwamba hayo Madini hayapatikani Urusi pekee hata nchi nyingine yapo km Australia,nk tofauti ni kwamba Russia bei chee) lakini hawezi sababu anahitaji pesa aendeshe vita yake aliyoianzisha isio na kichwa wala miguu.
Hawawezi kukuelewa mkuuHapo anazungumzia Gas Price cap ambayo Ursula alipendekeza kwa EU.