Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,844
- Thread starter
- #21
Afu kuna kitu hapa tuna over look. Mtoto tunaemzungumzia ni wa umri gani? Mimi nanunua a na kusoma sana vitabu vya saikolojia ya malezi na huwa na take time to do psychological tests ambazo zimo kwenye hivyo vitabu. Wataalamu wanasema umri wa mtoto kuwa trained na wazazi unaishia miaka saba. Akivuka hapo anakuwa keshakomaa akunjiki. kwa hiyo wazazi wenzangu zingatieni hilo. Try to guide your kids the way you think is good for their future before they turn 7.
...duuhhh, hii inatisha sasa, yaani mikoba yote inaishia na 'baa baa black sheep!' anapo graduate kindergatten?
Anyway, mfano; Nikiangalia kwingineko duniani, kwenye michezo na burudani na matokeo ya mzazi kuwa 'pushy!'...
...wote hapo juu Venus & Serena William, Lewis Hamilton, Michael Jackson ( :rip:ray na Tiger Woods wameweza kuwa Iconic figures world wide na kujikusanyia mamilioni ya dollar.
Sio siri, kila mmoja wetu amejaaliwa kipaji fulani. Mashaka ni kujitambua/au mzazi kutambua kipaji
chako na mapema.
Nadhani kuna faida mzazi kuwa pushy iwapo opportunity zita arise,
...Wazazi hebu tuchungue vipaji vya wanetu. Na kama alivyosema Nyumba Kubwa, ukichelewa na kijana/binti akishavuka 7yrs ndio umeula...shime tuwawahi na mapema badala ya kuwaharibu na Big Brother Africa!