Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Miongoni mwa waathirika mimi ni mmoja wapo nilijiunga rasmi na kupata uanachama huo kuanzia 2007 mpaka October 2015, baada ya kuona madhara makubwa sasa yameshanianza, nipo ktk kujitibu lkn nimegundua sikuathirika zaid physical na nimeathirika zaid mentality mana nikiona chupi dukan tu dude linaamka na hapo nitaanza kutoka yale marenda renda


Duh we ilibidi uhukumiwe kifungo rehab mpaka upone
 
Mkuu Nimepona nakukumbusha kuwa makini katika kutumia hii id kuna wakati unaweza kuchanganya mafile ukareply kwa id yako ile ya mwanzo
Nashukuru Mkuu, natumia hii ID kwa siku 5 mfululizo na nitakaporudi kwenye ID yangu ya miaka yote sitarudia tena. Nilitaka ujumbe ufike na umefika na nimejibu baadhi ya maswali na pia kujibu pm zote kwa waliohitaji kwa maswali binafsi .
 
Hii ni reply kwa baadhi ya wadau wa MMU huko mtaa wa PM. Naamini itajibu baadhi ya maswali pia

----------------------------------------------
Hiyo blog siikumbuki niliisoma muda mrefu halafu kuna mtu alikuja MMU akaweka kitu kama hicho ila nakumbuka tu maelekezo na jinsi ambavyo mimi nimefanya.

Kwanza ni maamuzi mkuu.
Pili usitumie dawa za kuongeza nguvu za kiume.
Anza kubadili vyakula ingia kwenye vyakula vya asili.
Tumia tangawizi kwenye chai, changanya na mdarasini na asali badala ya sukari. Fanya hii iwe ratiba yako siku zote angalau mara 2 hadi 3 kwa siku. Tangawizi na mdarasini na asali vikolee vzr. Ukiweza kulamba asali pia ni nzuri.

Mazoezi:
Fanya mazoezi ya viungo.
Ili kuimarisha misuli iliyolegea fanya namna hii maana misuli inapaswa kufanyiwa busti bila kutumia madawa.
Je ulishawahi kubanwa na mkojo na kujaribu kuzuia? Hiyo misuli unayotumia kubana mkojo ndio misuli hiyo hiyo inayotumika kuufanya uume kusimama imara yaani kuwa na nguvu.
Kwahiyo unakuwa unafanya zoezi kama la kuzuia mkojo kwa kukaza misuli na kufanya kama vile unataka kuufanya uume usimame kwa kukaza msuli. Ni zoezi unaloweza kufanya hata ukiwa umekaa. Wakati unakaza msuli jitahidi ziwe angalau sekunde 6 kwa kila zoezi fanya hivi mara nyingi na utaanza kuona misuli inapata nguvu. Unapoanza zoezi hili hakikisha hivyo vyakula unaendelea navyo kwa kasi. Na unapoanza hakikisha haurudi nyuma wala kufanya tena punyeto.
Haya ndio mambo niliyofanya na yakanisaidia.
Fanya hivyo halafu utaniambia baada ya miezi isiyozidi mitatu
 
Nipe hyo blog mzee...huko Tosa sio kuzuri....nimesoma pale asee kulikua ni balaa kwa Punyeto...
 
Mdogomdogo utatueza jinsi ulivyoanza kuwa bwabwa Na nani alikuwa wa kwanza kula bikiri yako..
 
Mkuu wala usitie shaka, kwa mwanachama mwaminifu hata madhara yake huwa invisible
Kesho kutwa karibu ninasherehekea miaka 30 ya uanachama.
Mkuu upo vizur..kikubwa ni uaminifu tuu...kuna nyuzi nyingi zinamaelezo mazur..
Turudie tena 'too much of anything is harmfull..

Tulipuke kistaarabu..
 
Aiseee, umenizidi miaka 2 tuu kwenye chama!!

Kuna kipindi nilitaka kuacha, eeeh bhana sikukata hata wiki nikajirudisha kundini mwenyewe!!!
Chama invisible Members nao invisibles
Ukitoka unarejea kimya kimya!!
 
Wahanga ni wengi sana humu. Ni vema ukaelezea kwa upana zaidi ulifanyaje hayo mazoezi, na vyakula ili na akina fulani wapone
 
jamani mbona naona ni me tu ndio wanachangia nataka na ke nawenyewe wajitose ili tupate elimu ya kuwafunda watoto wetu
 
Unajuaje kuwa naye anayesajili naye ni invisible member? Pia Invisible na Invisible Elly nao pia ni invisibles.
Mkuu usinilishe maneno na naomba uwatake radhi uliowataja, mie sikumaanisha hao uliowaandika. Nilimaanisha watu wasiofahamika/ wasiojulikana na kila mtu anaenda kimya kimya. Umefanya kosa kutaka kuhusisha comment yangu na hawa ndugu. Omba radhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom