Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Punyeto: Nilivyoanza, nilivyoacha na hali ya sasa

Tunashukuru mhenga wa chaputa kwa wosio najua kwa uzi huu kuna watakaokusikia na kuacha kuna wengine ndio utakuwa umewabusti wakazane kupiga nyeto Kana kwamba kuna tuzo watapewa pia kuna wanachama wapya wa chaputa watazaliwa.
Uzi wako ni kama dawa una tibu lakini kuna side effect kumbuka wakati wengine wanakufa wengine wanazaliwa,pia wakati wengine wanastaafu wengine wanaajiriwa.
Asante mkuu, ila mie sio member wa chaputa tena. Sitamani kuona mtu kwenye hili janga tena
 
Waleta nyuzi wengne mnakera, unaleta uzi unahtaj maswali ya kujibu halaf wewe unaandika unasepa, unasaidia nini sasa. Umeulizwa na wadau hapo juu maswali ambayo wengne tunataka kujua pia, we unatuambia sijui unavuta msuli, hutuelez kivp n msuli gan? Na ukaulizwa watoto ulipata? Mana kuna nadharia kama kwa aliyepiga nyeto sana watoto kupata n shda
Samahani mkuu, si unajua natuma ID mpya na nina majukumu mengine na nimejibu niliyoweza.

Kwanza blog yenyewe siikumbi maana ni muda mrefu nilisoma ila nikawa nimeelewa kidogo kichwani nikaanza. Kiufupi nilitaka tiba bila madawa.
Na majuzi hapa huo niliona mtu amepost humu MMU.

Iko hivi.
-Nilianza kutumia tangawizi karibia kwenye vyakula vingi. Tangawizi inasisimua misuli. Nikatimia na asali na mdarasini, na matunda.

- Zoezi lilihusu kuipa nguvu misuli iliyolegea kwa kujichua. Kujichua kunaifanya misulikukosa nguvu.
Nakuwa nafanya zoezi kama vile la kuzuia mkojo. Yaani kama vile imebanwa na mkojo lakini unavuta msuli kuzuia. Sasa nimekuwa nafanya hivyo mara kwa mara, niwe ofisini, nyumbani, popote. Halafu nakuwa kama naufanya uume usimame mara kwa mara huku nikiendelea na vinywaji vyangu mara kwa mara. Kama una nafasi nzuri ongeza na mazoezi ya viungo.
Baada ya kufanya hivi mara nyingi takribani miezi kadhaa nikaanza kuona matokeo na ikaanza kuridhisha.
Kuna mtu alileta uzi huo humu naomba atusaidie
 
Hiki kitu kili nitesa sana kila nlipo nuia kuacha najikuta narudia tena nli hangaika zaid ya miaka 3 nakashindwa ila cku nlipo amua kufanya maamuzi magumu nlifanifikiwa thou sina guarantee maana nna mwaka sasa tangu ni step down
 
Miongoni mwa waathirika mimi ni mmoja wapo nilijiunga rasmi na kupata uanachama huo kuanzia 2007 mpaka October 2015, baada ya kuona madhara makubwa sasa yameshanianza, nipo ktk kujitibu lkn nimegundua sikuathirika zaid physical na nimeathirika zaid mentality mana nikiona chupi dukan tu dude linaamka na hapo nitaanza kutoka yale marenda renda
 
Kuacha punyeto ni rahisi sana inategemea na mazingira unayo ishi na pia muda mwingi fanya vitu vya muhimu halafu unakuwa bize lakini pia akili yako usihiamishie kwenye kufanya mapenzi au kujichua chukulia ngono sehemu ya maisha ambayo ni kawaida mno

Na wala msijaribu kusema ya kwamba ukianza kujichua hutaweza kuacha, acheni kukariri maisha.
 
Njia rahisi ya wewe mwathirika wa punyeto nashauri ujikite zaidi kwenye masuala ya kisiasa, na kutafuta pesa kamwe hutowaza kujichua,

Hali ya maisha kwa nchi ya Tanzania ni ngumu sasa unaanzaje kujichua wakati unatakiwa ujikite zaidi kujikwamua katika hali hii ngumu kiuchumi katika nchi ya Tanzania.....
 
Mwenyekiti nipoo 6 times mpaka 8 kwa siku
 
Kuna kasumba kuwa chaputa hawawezi kuzalisha kutoka na tatizo kama langu. Sio kweli, yaani uume ukisimama na Mbegu zikafika basi mimba hutokea.
Mie nina watoto wawili na nataraji mwingine wa 3 soon.
kipi kitamu.....mbunye au nyeto?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom