Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,207
- 15,880
.....................................Vijana mnaotaka kuuanza huu mchezo angalieni faida zake na hasara zake...hasara zake hazimithiliki wala hazielezeki kama unaweza kuu-control mwili wako fanya hivyo kuepuka kadhia hizi.
Believe me,mwanaume hana kingine cha kuringia kama kuwa na nguvu za kiume kisawa sawa hata akiwa na pesa vipi na sura nzuri akizikosa hizi hela zake au sura yake nzuri ni kazi bure!"SAY NO TO PUNYETO KUULINDA UANAUME WAKO"
Believe me,mwanaume hana kingine cha kuringia kama kuwa na nguvu za kiume kisawa sawa hata akiwa na pesa vipi na sura nzuri akizikosa hizi hela zake au sura yake nzuri ni kazi bure!"SAY NO TO PUNYETO KUULINDA UANAUME WAKO"
