Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,835
Ni DHAMBI ya makusudi kabisa mbele za Mungu na ndio maana unakosa amani.nadhani sio dhambi maana hakuna uchafu wowote unaoupata kimwili.ila sijui kwanini mtu ukimaliza kupiga punyeto unakosa amani
Hata Adamu alipokula tunda alikosa amani kabisa na kwenda kujificha ili asiuone uso wa Mungu.