Ndoo unajua leo?Takribani miaka mitano nilikuwa napiga punyeto lakini kwa sasa nimeacha rasmi na kwa kweli namshukuru Mungu nimejitoa kwenye chama cha wapiga punyeto.
Enzi hizo nilikuwa nikikaa sehemu na nikimuona msichana mrembo ( bonge) aliyevaa dera akipita, naondoka na picha yake kichwani , usiku ukifika naingia bafuni au kitandani naanza kuivuta ile picha ya mrembo machoni na ubongoni kwangu naanza kupiga punyeto.
Madhara niliyoyapata kwa kipindi hicho ni kwamba nilikuwa nikimtongoza msichana lazima wadhungu watoke kabla ya hata hatujaanza mechi, na hata mechi ikianza tu ,ndani ya sekunde 2 wadhungu wanatoka, yaani ilikuwa ni aibu, kuja kuliamsha dude tena mpake kesho yake.
Na ilifikia point ili niliamshe dude katikati mwa mechi ilinilazimu kuvuta picha ya msichana mrembo iliyeko kichwani mwangu, tofauti na hapo mambo yalienda kombo na niliishia kuaibika.
Mara baada ya kugundua nimeathirika kisaikolojia na kimwili, nikaanza tiba.
Tiba yenyewe ilikiwa ni kupiga mazoezi kila siku jioni, kunywa maji mengi, kuchwa chai iliyotiwa tangawizi+ limao+ mdarasini na asali, kula mbegu za mamboga, karanga na ndizi.
Kwa kweli nashukuru kwa sasa nimekuwa lijali, dude linasimama wima, na hata nikiwa na mrembo ndani uwezo wa kusimamia show bila tatizo ninao.
Vijana acheni punyeto kama mnataka heshima kwenye ndoa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unajisifia upumbavu lazima utakuwa tasa wa kiumeee!!!Punyeto Ni Kama Dawa.
ikikukataa Aleji yake ndiyo hiyo
lakini ikikukubali hahaha..uta enjoy
Mwaka wa 20 Huu,napiga punyeto na Mzigo nakula round 5 Kama kawa
HAPANA Mkuu.Unajisifia upumbavu lazima utakuwa tasa wa kiumeee!!!
Takribani miaka mitano nilikuwa napiga punyeto lakini kwa sasa nimeacha rasmi na kwa kweli namshukuru Mungu nimejitoa kwenye chama cha wapiga punyeto.
Enzi hizo nilikuwa nikikaa sehemu na nikimuona msichana mrembo ( bonge) aliyevaa dera akipita, naondoka na picha yake kichwani , usiku ukifika naingia bafuni au kitandani naanza kuivuta ile picha ya mrembo machoni na ubongoni kwangu naanza kupiga punyeto.
Madhara niliyoyapata kwa kipindi hicho ni kwamba nilikuwa nikimtongoza msichana lazima wadhungu watoke kabla ya hata hatujaanza mechi, na hata mechi ikianza tu ,ndani ya sekunde 2 wadhungu wanatoka, yaani ilikuwa ni aibu, kuja kuliamsha dude tena mpake kesho yake.
Na ilifikia point ili niliamshe dude katikati mwa mechi ilinilazimu kuvuta picha ya msichana mrembo iliyeko kichwani mwangu, tofauti na hapo mambo yalienda kombo na niliishia kuaibika.
Mara baada ya kugundua nimeathirika kisaikolojia na kimwili, nikaanza tiba.
Tiba yenyewe ilikiwa ni kupiga mazoezi kila siku jioni, kunywa maji mengi, kuchwa chai iliyotiwa tangawizi+ limao+ mdarasini na asali, kula mbegu za mamboga, karanga na ndizi.
Kwa kweli nashukuru kwa sasa nimekuwa lijali, dude linasimama wima, na hata nikiwa na mrembo ndani uwezo wa kusimamia show bila tatizo ninao.
Vijana acheni punyeto kama mnataka heshima kwenye ndoa
Nimechekaaaaaa sanaaa"Nyeto is life , life is nyeto" mwanaume bila nyeto maisha yako yatakuwa mafupi Sana hapa duniani..watu tumeoa na nyeto tunapiga...kwa msaada zaidi jitahidi uzijue faida zake..mojawapo ni kusaidia kupata usingizi murua.
Jasiri haachi asili....Takribani miaka mitano nilikuwa napiga punyeto lakini kwa sasa nimeacha rasmi na kwa kweli namshukuru Mungu nimejitoa kwenye chama cha wapiga punyeto.
Enzi hizo nilikuwa nikikaa sehemu na nikimuona msichana mrembo ( bonge) aliyevaa dera akipita, naondoka na picha yake kichwani , usiku ukifika naingia bafuni au kitandani naanza kuivuta ile picha ya mrembo machoni na ubongoni kwangu naanza kupiga punyeto.
Madhara niliyoyapata kwa kipindi hicho ni kwamba nilikuwa nikimtongoza msichana lazima wadhungu watoke kabla ya hata hatujaanza mechi, na hata mechi ikianza tu ,ndani ya sekunde 2 wadhungu wanatoka, yaani ilikuwa ni aibu, kuja kuliamsha dude tena mpake kesho yake.
Na ilifikia point ili niliamshe dude katikati mwa mechi ilinilazimu kuvuta picha ya msichana mrembo iliyeko kichwani mwangu, tofauti na hapo mambo yalienda kombo na niliishia kuaibika.
Mara baada ya kugundua nimeathirika kisaikolojia na kimwili, nikaanza tiba.
Tiba yenyewe ilikiwa ni kupiga mazoezi kila siku jioni, kunywa maji mengi, kuchwa chai iliyotiwa tangawizi+ limao+ mdarasini na asali, kula mbegu za mamboga, karanga na ndizi.
Kwa kweli nashukuru kwa sasa nimekuwa lijali, dude linasimama wima, na hata nikiwa na mrembo ndani uwezo wa kusimamia show bila tatizo ninao.
Vijana acheni punyeto kama mnataka heshima kwenye ndoa