Punyeto haifai kiafya ndugu zangu

Takribani miaka mitano nilikuwa napiga punyeto lakini kwa sasa nimeacha rasmi na kwa kweli namshukuru Mungu nimejitoa kwenye chama cha wapiga punyeto.

Enzi hizo nilikuwa nikikaa sehemu na nikimuona msichana mrembo ( bonge) aliyevaa dera akipita, naondoka na picha yake kichwani , usiku ukifika naingia bafuni au kitandani naanza kuivuta ile picha ya mrembo machoni na ubongoni kwangu naanza kupiga punyeto.

Madhara niliyoyapata kwa kipindi hicho ni kwamba nilikuwa nikimtongoza msichana lazima wadhungu watoke kabla ya hata hatujaanza mechi, na hata mechi ikianza tu ,ndani ya sekunde 2 wadhungu wanatoka, yaani ilikuwa ni aibu, kuja kuliamsha dude tena mpake kesho yake.

Na ilifikia point ili niliamshe dude katikati mwa mechi ilinilazimu kuvuta picha ya msichana mrembo iliyeko kichwani mwangu, tofauti na hapo mambo yalienda kombo na niliishia kuaibika.

Mara baada ya kugundua nimeathirika kisaikolojia na kimwili, nikaanza tiba.

Tiba yenyewe ilikiwa ni kupiga mazoezi kila siku jioni, kunywa maji mengi, kuchwa chai iliyotiwa tangawizi+ limao+ mdarasini na asali, kula mbegu za mamboga, karanga na ndizi.

Kwa kweli nashukuru kwa sasa nimekuwa lijali, dude linasimama wima, na hata nikiwa na mrembo ndani uwezo wa kusimamia show bila tatizo ninao.

Vijana acheni punyeto kama mnataka heshima kwenye ndoa
Ndoo unajua leo?
 
Punyeto Ni Kama Dawa.
ikikukataa Aleji yake ndiyo hiyo
lakini ikikukubali hahaha..uta enjoy

Mwaka wa 20 Huu,napiga punyeto na Mzigo nakula round 5 Kama kawa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Unajisifia upumbavu lazima utakuwa tasa wa kiumeee!!!
 
Takribani miaka mitano nilikuwa napiga punyeto lakini kwa sasa nimeacha rasmi na kwa kweli namshukuru Mungu nimejitoa kwenye chama cha wapiga punyeto.

Enzi hizo nilikuwa nikikaa sehemu na nikimuona msichana mrembo ( bonge) aliyevaa dera akipita, naondoka na picha yake kichwani , usiku ukifika naingia bafuni au kitandani naanza kuivuta ile picha ya mrembo machoni na ubongoni kwangu naanza kupiga punyeto.

Madhara niliyoyapata kwa kipindi hicho ni kwamba nilikuwa nikimtongoza msichana lazima wadhungu watoke kabla ya hata hatujaanza mechi, na hata mechi ikianza tu ,ndani ya sekunde 2 wadhungu wanatoka, yaani ilikuwa ni aibu, kuja kuliamsha dude tena mpake kesho yake.

Na ilifikia point ili niliamshe dude katikati mwa mechi ilinilazimu kuvuta picha ya msichana mrembo iliyeko kichwani mwangu, tofauti na hapo mambo yalienda kombo na niliishia kuaibika.

Mara baada ya kugundua nimeathirika kisaikolojia na kimwili, nikaanza tiba.

Tiba yenyewe ilikiwa ni kupiga mazoezi kila siku jioni, kunywa maji mengi, kuchwa chai iliyotiwa tangawizi+ limao+ mdarasini na asali, kula mbegu za mamboga, karanga na ndizi.

Kwa kweli nashukuru kwa sasa nimekuwa lijali, dude linasimama wima, na hata nikiwa na mrembo ndani uwezo wa kusimamia show bila tatizo ninao.

Vijana acheni punyeto kama mnataka heshima kwenye ndoa

Mkuu ulichukua mda kutoka kuanza mazoezi mpaka kujiona tayari ushakua sawa kimwili?
 
Hiyo kitu acheni tu jaman,enzi zile kulala bila punyeto haiwezekani pia kuoga bila kuonja ilikuwa ngumu,ilifikia sehemu hata ukipata mwanamke unatamani uanze na punyeto kidogo ili uweze kufanya tendo kwa utulivu bila wasiwasi,ila namshukuru mungu leo natimiza miaka 22 bila hamu ya punyeto,huu ni ulevi kama dawa za kulevya!
 
"Nyeto is life , life is nyeto" mwanaume bila nyeto maisha yako yatakuwa mafupi Sana hapa duniani..watu tumeoa na nyeto tunapiga...kwa msaada zaidi jitahidi uzijue faida zake..mojawapo ni kusaidia kupata usingizi murua.
Nimechekaaaaaa sanaaa
 
Takribani miaka mitano nilikuwa napiga punyeto lakini kwa sasa nimeacha rasmi na kwa kweli namshukuru Mungu nimejitoa kwenye chama cha wapiga punyeto.

Enzi hizo nilikuwa nikikaa sehemu na nikimuona msichana mrembo ( bonge) aliyevaa dera akipita, naondoka na picha yake kichwani , usiku ukifika naingia bafuni au kitandani naanza kuivuta ile picha ya mrembo machoni na ubongoni kwangu naanza kupiga punyeto.

Madhara niliyoyapata kwa kipindi hicho ni kwamba nilikuwa nikimtongoza msichana lazima wadhungu watoke kabla ya hata hatujaanza mechi, na hata mechi ikianza tu ,ndani ya sekunde 2 wadhungu wanatoka, yaani ilikuwa ni aibu, kuja kuliamsha dude tena mpake kesho yake.

Na ilifikia point ili niliamshe dude katikati mwa mechi ilinilazimu kuvuta picha ya msichana mrembo iliyeko kichwani mwangu, tofauti na hapo mambo yalienda kombo na niliishia kuaibika.

Mara baada ya kugundua nimeathirika kisaikolojia na kimwili, nikaanza tiba.

Tiba yenyewe ilikiwa ni kupiga mazoezi kila siku jioni, kunywa maji mengi, kuchwa chai iliyotiwa tangawizi+ limao+ mdarasini na asali, kula mbegu za mamboga, karanga na ndizi.

Kwa kweli nashukuru kwa sasa nimekuwa lijali, dude linasimama wima, na hata nikiwa na mrembo ndani uwezo wa kusimamia show bila tatizo ninao.

Vijana acheni punyeto kama mnataka heshima kwenye ndoa
Jasiri haachi asili....
 
Hiyo uliokuwa unapiga wewe sio punyeto nigga

Let tell you something

Wapiga nyeto wote kwanza bao la kwanza wanaenda kupiga chooni kama hujui alafu ukitoka huko upo fiti yaani na demu anaelewa show yaani wewe unatafuta la pili yeye la kwanza
 

Similar Discussions

31 Reactions
Reply
Back
Top Bottom