Mkare
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 504
- 78
Kama ilishatumwa before, mtanisamehe...Mimi kila nikiisoma mbavu sina na ninapata picha kama muvi...lol
Jamaa alikuwa anaendesha punda, siku 1 akamuuliza rafiki yake kwa nini gari zinaenda mbio? Rafiki yake akamjibu zinatumia mafuta. Siku ya 2 akaenda sheli na punda wake, alipofika akamnyanyua mkia akasema atiwe lita 5. Punda petrol ikamuwasha akatoka mbio za ajabu. Jamaa akamfukuza akarudi. Akavua suruali akainama akamwambia muuza mafuta amtie lita 10....
Unajua nini kilitokea? Ni PM nikupe part two...!
Jamaa alikuwa anaendesha punda, siku 1 akamuuliza rafiki yake kwa nini gari zinaenda mbio? Rafiki yake akamjibu zinatumia mafuta. Siku ya 2 akaenda sheli na punda wake, alipofika akamnyanyua mkia akasema atiwe lita 5. Punda petrol ikamuwasha akatoka mbio za ajabu. Jamaa akamfukuza akarudi. Akavua suruali akainama akamwambia muuza mafuta amtie lita 10....
Unajua nini kilitokea? Ni PM nikupe part two...!