Tupa Tupa
Senior Member
- Jun 2, 2019
- 140
- 107
Habari wakuu,
Nawashirikisha tatizo langu, nawaomba ushauri wenu nimejigundua makende yangu yanapotea nikikagua kama moja inajisaga saga na nyingine inazidi kuwa ndogo lakini sina maumivu yoyote, na kila baada siku zinavyokwenda naona mambo yanazidi kwenda ndivyo sivyo
Ushauri wenu tafadhali nifanye nini na huu ugonjwa unaitwaje na nitafute dawa gani ?
Asanteni
Nawashirikisha tatizo langu, nawaomba ushauri wenu nimejigundua makende yangu yanapotea nikikagua kama moja inajisaga saga na nyingine inazidi kuwa ndogo lakini sina maumivu yoyote, na kila baada siku zinavyokwenda naona mambo yanazidi kwenda ndivyo sivyo
Ushauri wenu tafadhali nifanye nini na huu ugonjwa unaitwaje na nitafute dawa gani ?
Asanteni