avogadro
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 7,324
- 12,734
Ndugu suala la mazishi li la mila desturi na la kidini. Hata kaburi la Yesu lilikuwa mfano wa kujengewa hivyo kama mtu mbaya amedhamiria hata hufukie kwa tope atafukua tuuHii tabia ya kusakafia nakaburi sio nzuri inarahisisha kaburi kufukuliwa tofauti na kufukia maiti maana watakuwa na kazi ya kuondoa kifusi