Psychedelic Drugs & Consciousness

Mada yako ni nzuri. Kwanza Tanzania Bangi tu wanaita ni Madawa ya kulevya; so hizo Pyschodelics ndiyo kabisa.

Drug Control and Enforcement Authority (DCEA) imeweka Bangi na hizo drugs mind altering kama Madawa ya Kulevya. I found it to be okay kwasababu watz wengi are still sleeping.

Consciousness yangu ilibadilika baada ya kuvuta Bangi for the first time. Nilianza kuvuta bangi nikiwa mwaka wa tatu kwenye somo la Pharmacology nikiwa nchini Ufaransa kimasomo. Tulishauriwa pia na mwalimu wetu.

Ilinisaidia sana kwenye meditation, spiritual transformation and transcendence. Huwa ninavuta bangi only when I want to reconnect my soul with the universe itself, naweza kukaa 5 years bila ya kuvuta.
-
When I feel losing my faith , I Smoke to regain the transcendence through meditation practice and astral projection, feeling the death itself.
-
I love the experience, brave and creativity in it . However, if you keep smoking too much na mara kwa mara , it has a lot of side effects; so you have to be really desciplined to monitor yourself na ikiwezekana uwe na technical personnel
-
Kama hujawahi kutumia Bangi, never use psychedelics substance; it is very dangerous .
-
Nilipata bahati ya kwenda Amazon to experience Ayahuasca ambayo siku hizi unaweza kuipata kwa Pharmaceuticals.

Wao wanatengeneza na kuwa kama mbege fulani hivi, wanatumia magome ambayo yame contain DMT ( N N Dimethytriptamne) kisha wanachanganya na majani yaliyo contain MAO(Monoamine Oxidase Inhibitor. Hii ni enzymes inayoenda ku digest zile contents za magome na kuifanya brew kuwa absorbed Orally na active.
-
Kwa kweli my first experience chini ya guidance ya mzee mmoja wa huko huko alietambulika kwa jina la Bob siwezi kuielezea.
-
I saw things I cannot explain , but I came to realize that there is more than what we think.
-
Nikapata uwezo mkubwa wa kuelewa mambo and changing my perspective in so many things : Nikaanza kuitazama dunia as it really is , not as I was conditioned to see it.
-
I saw my death ; and realized that there is something bigger than myself ,bigger than I am . I am as I am. I am I am, I was I am .... I will be I am.

I actually died, I became more aware of my existence; it was a radical change of my consciousness behind this world as well as insecurities of the eternity.
-
I came to realize Buddha teachings are more meaningful and closer to truth of existence.

I appreciate Cannabis and Pyschodelics Drugs; and I advise that every human being should have smoked and use these mind altering drugs once in his life time to awaken the sleeping energy.
-
Watu wengi wanakufa bila ya kujua how powerful they are. It is so painful to see that, kuna wakati nilijuta why niliamsha hii sleeping energy, maana nikaanza feel so sorry to others, to animals . I also had to stop eating meat. Huwa i feel so offended kuchinja Mnyama for my food.

It is so painful to awaken the energy of consciousness ; but is is very good to awaken for future endeavors.
-
The Pyschodelic drugs make you realize that the one looking at you through my eyes , and the one looking at me through your eyes is the same one. The same to everything , to animals, trees, chair , tables etc etc

Ni kweli kabisa hizi drugs zinaenda ku awaken human consciousness, it makes someone more aware and fearless which makes it more difficult for the government to control such citizens. And that is the reason they are illegal.
Ngoja nile chakula kwanza then ntarudia ulichoandika...
 
Hivi sheria inasemaje kuhusiana na hii psychedeli drug kama san pedro kama mtu ameipanda kwake labda, au importation yake kuja bongo . Sheria ikoje kwa upande huu

Mk54
 
Hii ni kweli , changamoto kubwa mimi naona watu wafundishwe kwanza.
-
Kwa sababu hakuna kitu hakina madhara.
-
Hata maji uki Over dose kwa Mfano ukanywa 6 L per day wakati wewe body mass yako inataka unywe 1.5L per day, utaenda ku create fluid retention in your body , Na utasababisha pressure kupanda, over time utaanza ku damage your vital organs such as kidney, brain vessels leading to stroke etc etc.
-
Vivo Hivyo kwa hizi mind altering drugs. They have serious side effect ukiwa una Over dose na kutumia mara kwa mara . Yaani vina ku dissociate na reality ya dunia, na sometimes unapoteza feelings za maisha kabisa. Yaani unaona kupata au kukosa is just a game. Let it be .
-
Substance kama hiyo LSD, DMT kwanza zinapatikana naturally kwenye mimea lakini pia drug dealers wanazitumia kutengeneza illicit substance in form of powder and tablets wakati huo huo wanachanganya na chemicals nyingine and makes it more addictive and dangerous.
-
DMT, LSD , Pscilocibin Mushroom zote zimekwa na WHO kwenye Schedule I Controlled Drug ikiwa na maana ya kuwa haifai kwa matumizi ya Dawa wala kwa matumizi yoyote na ukishikwa nayo you should go to Jail . Lakini jiulize Mbona mmea wake bado unaendelea kulimwa .

Shida kubwa pia kwa mfano, leo unamuuliza mtu anaetumia bangi, kwanini unavuta bangi ? Hatoweza kukupa Jibu sahihi.
-
Wengi huvuta kwa makundi, kuiga bila ya kujifunza na kufanya research matokeo yake wanaenda kuharibu akili zao na kuwa wahuni.
-
Na bangi wanazotumia sio zile kutoka shamba , ni zile ambazo wameshachanganya na cocaine ili Kesho uje tena .... baadae mtu anakuwa teja.
-
Know why do you have to smoke ; what do you want from smoking: ? Je unahitaji Creativity or writings or transcendence etc etc yaani lazima uwe na sababu ya kuvuta au kutumia psychedelic substances. Kama Huna sababu then stop it .

Methadone is one of psychedelic, mind altering substance, Na ndiyo hutumika kwenye ku withdraw wale watu waliokuwa addicted na cocaine. methadone Center ipo hapo MNH, Amana , Temeke , Mwananyamala kwa Hospital za Dar Tu.
-
Suali la Msingi unawezaje kuitumia methadone ukaacha DMT, LSD au Pscilocybin Mushroom . Hizi ndio the natural substance ambazo zinamfanya mtu aache kabisa kuwa addicted na kuacha kutumia cocaine na Heroin.
-
Ni substance ambazo zikitumiwa at recommended dose under guidance, makes your life more meaningful, spiritual, brave and creative.

It is all about awaken the consciousness, self realization, the one we are.
-
I personally have used all those psychedelic substances. If you are lucky to get the natural plant from your own garden, then you are done.

LSD tablets, I don’t recommend t’ buying View attachment 1707053
these laboratories made.



View attachment 1707053
DMT powder, it is also laboratory made, I don’t recommend. You have to get the natural plants kama unavoipata Cannabis.

View attachment 1707054

Magic Mushroom, Pscilocybin Mushroom. The tree of Life. The tree of Good and Evil .

View attachment 1707055

LSD plant containing. You need to have this in your secret garden. You may use once per year or 3 years. If you use like that, you will see the benefits of being born on earth.

View attachment 1707056
The DMT plant containing, the tree of life and death, the Vial of pendant eternity.

View attachment 1707057

The Powder , don’t buy this, find the natural plant.

I have a lot of photos and my experience to DMT and LSD , kutokana na uhalisia wa kazi yangu. I am not allowed to share anything from Social platforms . View attachment 1707054
Tell us your heart and what you believe..
 
Roger that, I agree with you. Ukisoma vyema post zangu utaona nimesisitiza sana under guidance.

Hata Mimi I spent 4 weeks and half in Amazon kuwa trained to understand the ultimate divine nature of these psychedelic plants.

Leo hii, mmea common Tu kama Bangi, ni dawa ya magonjwa mengi sana na hutumika sana katika spiritual transcendence beyond all odds, lakini je wangapi wanajua namna ya kutumia bangi, na je unajua unapaswa kutumia kitu gani baada ya ku Smoke Bangi ili kusafisha moshi and after effect.

Hii ndio shida ya vijana wetu wanafanya vitu bila maarifa. Nikikwambia 90% ya politicians Hapo TZ na nchi nyingine wanatumia mmea na mimea Hii , can you believe that.
Bahati mbaya hapa ni social media.

Mmasai anakula nyama everyday, but husikii ana kidney failure, blood pressure etc etc? Lakini ukirudi kwa wachaga wenzangu wengi ni ma pressure, kidney, matatizo ya miguu, hii ni kwa sababu wanapenda kula
Nyama but hawajui kuipika nyama kutoa toxic zote kwanza.

Wamasai wanapenda nyama na wanajua kuitengeneza ili kutoa sumu zote na odds.

Kila kitu ni guidance kaka. Haya mambo hayajawekwa kwa bahati mbaya .
Ebu eleza zaidi hapo kwenye nyama based on maasai na the rest of us.. kuna una taarifa zaidi please
 
Drugs aint for everybody.
Neither San Pedro nor mescaline appear to have caused any deaths—not by their physical action, anyway. As with any psychedelic, poorly planned set and setting can lead to risks, including hazardous environments, being in public, etc. It may also cause problems for those with a history of mental illness, heart conditions, high blood pressure, and liver issues, as well as pregnant or breastfeeding women.
 
Neither San Pedro nor mescaline appear to have caused any deaths—not by their physical action, anyway. As with any psychedelic, poorly planned set and setting can lead to risks, including hazardous environments, being in public, etc. It may also cause problems for those with a history of mental illness, heart conditions, high blood pressure, and liver issues, as well as pregnant or breastfeeding women.
Ever heard of a bad trip?! The same drugs to make you whole can be the same drugs to break you apart if you have no knowldge of what those drugs could do to you.
Mimi nimeshatumia weed, bado sijatumia pschedelics lakini naweza kusema, weed is harmless kwangu lakini kwa mwingine ikawa otherwise. The same goes to psychedelics.

Nina miaka mingi natumia weed lakini lakini napata faida kubwa sana, lakini nina rafiki yangu wa utotoni akivuta weed anajishtukia sana. Mnaweza kuwa mmekaa akakuuliza mbona kama nimepiga kelele wakati alikuwa very calm. Kwa hiyo kama ataendelea kusmoke imagine ni nini kitamkumba. Hapo ndipo serikali itakuja kuingilia kati na kukamata accomplice kama sisi wavutaji wenziwe na plugs (pusha). Mind you that weed is not as a hardcore drug as psychedelics, the latter do rewire your brain and alter your brain chemistry, so if unknowingly of the right amount of drug intake, or without the spiritual guide. You could overdose or end up in a bad trip which could send you in a mental institutions.
So, do you think the government will simply give your plant a boarder pass?!
 
Ever heard of a bad trip?! The same drugs to make you whole can be the same drugs to break you apart if you have no knowldge of what those drugs could do to you.
Mimi nimeshatumia weed, bado sijatumia pschedelics lakini naweza kusema, weed is harmless kwangu lakini kwa mwingine ikawa otherwise. The same goes to psychedelics.

Nina miaka mingi natumia weed lakini lakini napata faida kubwa sana, lakini nina rafiki yangu wa utotoni akivuta weed anajishtukia sana. Mnaweza kuwa mmekaa akakuuliza mbona kama nimepiga kelele wakati alikuwa very calm. Kwa hiyo kama ataendelea kusmoke imagine ni nini kitamkumba. Hapo ndipo serikali itakuja kuingilia kati na kukamata accomplice kama sisi wavutaji wenziwe na plugs (pusha). Mind you that weed is not as a hardcore drug as psychedelics, the latter do rewire your brain and alter your brain chemistry, so if unknowingly of the right amount of drug intake, or without the spiritual guide. You could overdose or end up in a bad trip which could send you in a mental institutions.
So, do you think the government will simply give your plant a boarder pass?!

Bongo kuna psychdellics??
 
Mwaka jana March nilikunywa Datura, nilipata psychedelic effects ndani ya nusu saa. Though people claim about its toxicity I didnt get pretty much of any poisonous or serious effects (such as delirium or urine retention and death) as it has been insinuated in most online articles.

Used weed for more than six years, though its not psychedelic itself, but it made me reflect on more on myself and self worth as am an artist. I decided to quit last year as I found being clear headed more of a productive and profound feeling, and back when I was puffin, I stopped dreaming, and weed was becoming more of an insidious type of drug.
On the first days of quitting, I had lucid and wildest dreams, night sweats, imbalanced emotions were the signs of withdrawal of the drug from my body.
 
Duh! seems like a bit scary
Not really, but the dreams were so intense, to the point it seems like real life.
On the side note, the mood swings were really hard to supress, as they lasted for the first three weeks, since quitting.
I do believe it takes a month for THC to fully clean up and withdrawal symptoms to get away.

But I don't regret ever smoking weed since it gave me the strength to carry on, and made more creative, as my job requires more creativity and I have to sit for hours on my computer screen, so it was something that made working really fun.
 
Back
Top Bottom