Chademakwanza
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 6,346
- 1,872
U mean PSPF au PPF?
Ni pspf sijajua leo kama wamewapa labda mtu atujuze
U mean PSPF au PPF?
LAPF ndo shirika la uhakika hilo PSPF ni u#$%"@@@@*%#
mbona wanasema hili ndo shirika makini kuliko yote. Haya mashirika hayaaminiki yote
yani sahivi najutia sana ile tarehe 01.03 nlivojiunga na hili shirika ni ujinga ujinga na uongo uongo mwingi wanatangaza mafao ambayo hata hawana NAJUTA SANA KUJIUNGA PSPF
kuchomoka si haipo? au unatumia mbinu gani mwenzanguPole mwe!kwa sisi tuliokuwa tunajua tangu awali tulisha chomoka zamani....huo mfuko ume lostishwa na serikali na unaidai serikali hela ndefu......na hakuna namna ya kulipa kwa sasa mpaka baada ya uchaguzi mkuu....
upo mahala pazuri hongera zako...mi ntajuta hadi uzeeniahsante sana mkuu, nilijiunga lapf ila nkaja kukuta wafanyakaz wenzangu wengi wako pspf nkadhan labda ni kwema zaid kumbe uchaguzi wangu ni wa busara mpaka hapa
upo mahala pazuri hongera zako...mi ntajuta hadi uzeeni
ahsante...pole sana mkuu
LolFomula ya malipo ya PSPF ndio inayosifiwa kuwa bora kuliko zote, hata ukuchukua makundi ya wastaafu hakuna anayeusifia mfuko zaidi ya PSPF, tulishuhudia wahadhiri wa vyuo vikuu walipogoma kudai mafao yao yahamishiwe PSPF kutoka huko mnako kusifia ninyi(japo si wastaafu)
Matatizo yapo lakini jihadhari usitapeliwe na matangazo ya biashara. Nani mstaafu wa LAPF au NSSF anayeweza leo kuisifu hiyo mifuko. Laiti mngelijua.....
Fomula ya malipo ya PSPF ndio inayosifiwa kuwa bora kuliko zote, hata ukuchukua makundi ya wastaafu hakuna anayeusifia mfuko zaidi ya PSPF, tulishuhudia wahadhiri wa vyuo vikuu walipogoma kudai mafao yao yahamishiwe PSPF kutoka huko mnako kusifia ninyi(japo si wastaafu)
Matatizo yapo lakini jihadhari usitapeliwe na matangazo ya biashara. Nani mstaafu wa LAPF au NSSF anayeweza leo kuisifu hiyo mifuko. Laiti mngelijua.....
usidhan nimekurupuka au naongea ili kuharibu biashara nnaongea nna uhakika 100%...mtu wangu wa karibu yupo LAPF alishafanya kazi sehemu tatu tofauti na kila akiquit anachukua contribution zake LAPF na last time mie mwnyw ndo nlimjazia fomu za kuomba hela zake nkapeleka j3 alhamisi hela ikaingia kwenye account!!!muda huo nlikua ma kijacho nikapewa fomu nijaze mafao ya uzazi roho iliniuma nkiwaza sipo LAPF nkatoka hapo na moto hadi PSPF kuuliza mafao ya uzazi wananijibu ujinga usioeleweka mara hawajaanzisha nyambafff wakat wanajinadi wana mafao ya uzazi...PSPF HAKUNA KITU
Xmass mama alikuwa anaringa pensheni za Januari alilipwa Desemba 22 mie hata mshahara ilikuwa bado alinikopesha nauli ya kwenda home.Mie nachangia PPF ila PSPF nawatamani kinoma......
ha ha ha in gwajima's voiceMwambie huyo, sijui amekula maharage ya wapi huyoooooo analewawa huyooooo nk
Uzuri wa PSPF wkt wa kustaafu unalambs ela ya maana sio km hao Matapeli wengine wanakupa ela ndogo halafu kila mwaka wanataka wajue km umeshakufa au bado unaishi.Wastaafu wengi wa mfuko hii wa pspf hatujalipwa kuanzia mwezi wa 12 na kama unabisha basi wewe siyo mstaafu. Nillitakiwa niwe nimelipwa miezi mitati kuishia february lakini sikulipwa nikiulizia naambiwa kuna technical problem. Tutakabiliana nao kwa maandamano mei mosi! Wastaafu tufike kwa wingi kwenye mabanda yao ya mei mosi popote yalipo mpaka kielewele. Inauma wanavyotangaza mikopo na mafao lwenye vyombo vya habari bila kutulipa wastaafu
Fomula ya malipo ya PSPF ndio inayosifiwa kuwa bora kuliko zote, hata ukuchukua makundi ya wastaafu hakuna anayeusifia mfuko zaidi ya PSPF, tulishuhudia wahadhiri wa vyuo vikuu walipogoma kudai mafao yao yahamishiwe PSPF kutoka huko mnako kusifia ninyi(japo si wastaafu)
Matatizo yapo lakini jihadhari usitapeliwe na matangazo ya biashara. Nani mstaafu wa LAPF au NSSF anayeweza leo kuisifu hiyo mifuko. Laiti mngelijua.....
Katika mifuko ya hovyo kabisa ni PPF ukifuatiwa na NSSF siwashauri ambao bado hawajajiunga kujiunga Na Hawa Matapeli. SSRA na wenyewe wamejiunga na hao matapeli kwa kuwa huwezi kutunga kanuni mbovu kama hizo za kukataza watu kuhama mfuko. Kama nimegundua mfuko niliojiunga ni wa kitapeli Kwa nini unikataze kuhama, hiyo pesa ya kuchangia mnanipa nyie hadi mnibane? Mafao ya mifuko ni tofauti kabisa, ukiwa na mshahara wa 1.2M mafao ya mkupuo PSPF ni karibia Milioni 100, lakini mshahara huo huo PPF mafao ya mkupuo haifiki hata Milioni 25 halafu katika hali ya namna hiyo unakataza watu wasihame mfuko? Huo ni wizi wa mchana kweupe! Nawashauri wanaotaka kuhama wavute michango yao wafute uanachama Na baada ya muda wajiunge na mifuko yenye akili, mimi nimefanya hivyo na nimefanikiwa!