PSPF hatarini kufa

Serikali inadai 3.1trillion. Je ni deni la pesa ambazo serikali imechukua au ni michango ya civil servants ambazo serikali haikupeleka. Ufafanuzi tafadhali

nilimuuliza jamaa ambayo anafanya kazi huko pspf ameniambia hilo deni serikali inadaiwa ni ruzuku/subsidies kutokana na formular inyotumika na pspf kwa makubaliano na serikali ambapo wastaafu wa mfuko huo wanalipwa mafao makubwa ambayo hayalingani kabisa na michango waliyochangia.ambapo wanabase zaidi miaka ya utumishi, kwa hiyo tofauti serikali ndio inachangia.sasa ishafika trilioni 3.
 
Sio PSPF peke yake.

Mke wangu, ambaye ni mfanyakazi wa serikali, huwa anadunduliza kupitia WADU ya benki ya Posta. Amenishangaza jana kuniambia serikali haijapeleka makato ya WADU kwa miezi ya Jan, Feb, na March mwaka huu! Kwa mtindo huu WADU pia iko hatarini kufa kwa kukopwa na serikali na ofcourse itakimbiwa na wateja ambao in reality ndio wanaokopwa.
 
A caution:

Government and political interferences will worsen financial sustainability of the PPFs which will, in turn, create necessary conditions for private pensions to come as an exit door and government's excuse.

SSRA should take a bitter pills asap to arrest poor governance practices in this sector. Measures may include


  • harmonization of the pension formulas,
  • clear definition of what is a government to assist single borrower limit is observed once introduced
  • advise government to reduce unnecessary competition from public pension funds and allow private pension funds to come while these public pension funds are in sound financial situations.
  • etc as they see fit.....
Mawazo mazuri, lakini je SSRA ina meno ya kuwagusa watu kama akina Dau na Erio?

Hivi unadhani SSRA ikifanya kazi yake CCM itasimama tena??

Ni kazi kwelikweli
 
Mmepewa kazi maalum na mtu maalum!!! Thread ya 2011, leo unatupia tuneno tutatu ili ije front.
Acha kutumika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom