pole sana i know how bad ur feeling right nw! Sijajua kama ikiwaka inatoa dalili za kua on,lyk ukibonyeza button inatoa sounds but there z no display!kama case ni hiyo screen ina tatizo! Kama ni DIYperson unaweza kuchck connection za screen or kama inahitaji replacement(kama ilishaanguka sana na kuvunjika)!
Ila kama haiwaki kabisa unapoiwasha ila charge inaingiza mayb switch inatatizo jaribu kuwasha many times ukicomfirm ni switch ts not that bad,u cn gt t fixed kwa fundi o u may DIY! Update me on ur progress if u can
nkiiwasha hakuna kinachotokea kabisa, I tried to remove battery na moto ulkua unafika frm the charger