Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.
Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
Katika maisha mengine mkuu now nimezaliwa Tanzania nitaiserve Tanzania.
Una umri gani? kila kitu kinawezekana asikukatishe tamaa mtu kama umri wako unaruhusu kwenda jkt kwa mujibu fanya hivyo, ama unaweza kuomba kazi polisi jeshi takukuru, maadili, au kwenye vyombo vingine vya usalama...kisha utendaji wako utakupeleka panapostahili kila la kheri.Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.
Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
Kwani ofisi zao zilipo hupajui?Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.
Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
Kwani ofisi zao zilipo hupajui?