Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.
Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
Watu wowote wanaoonekana life style yao ni kama usalama wa Taifa kabla hawajawa, hawapaswi kuwa usalama wa Taifa, halafu sio kazi ya kutamani au kujipendekeza, endelea tu na shughuli nyingine za maisha.