Ps: Usalama wa Taifa Tanzania

Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.

Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika

Watu wowote wanaoonekana life style yao ni kama usalama wa Taifa kabla hawajawa, hawapaswi kuwa usalama wa Taifa, halafu sio kazi ya kutamani au kujipendekeza, endelea tu na shughuli nyingine za maisha.
 
Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.

Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
Kila la kheri mkuu
 
Naamini hapa kuna wajuzi zaidi kwenye hii idara,hivi hawa jamaa wanaweza kukuchagua,wakakusanya taarifa zako zote (vetting) kisha wakakupotezea mazima au ni suala la muda tu.
 
Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.

Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
Dah ushakosa
 
Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.

Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
AMA KWELI...
kuwa mjasiriamali mkuu
 
Ukisikia nafasi za Jkt, au, polisi, au magereza, Au takukuru tuma maombi nenda pambana jenga nidhamu ya hali ya juu uzalendo wa kweli usijivunie elimu yako utafika unapotaka naamini watakuona huko hila kwa hapa jf wataona uzi wako tu
 
Aisee
Una umri gani? kila kitu kinawezekana asikukatishe tamaa mtu kama umri wako unaruhusu kwenda jkt kwa mujibu fanya hivyo, ama unaweza kuomba kazi polisi jeshi takukuru, maadili, au kwenye vyombo vingine vya usalama...kisha utendaji wako utakupeleka panapostahili kila la kheri.
Aisee wewe umemshaur vzr tofaut na wengne
 
Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.

Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika

Mbona wapo.walevi kibao
 
Napenda kufanya kazi kwenyee hii taasisi, all my 3 years of law enforcement bachelor pale UDSM wanafunzi na lectures walihisi I am one of them na nikwasababu ya uwezo wangu mkubwa wa kusolve issues na lifestyle yangu, recruiters kama mnapita nahumu naomba mnione.

Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalika
Mkuu hongera sana kwa ujasiri uliokuwa nao...wakikucheki basi na mimi waje wanicheki ili tuitumikie idara
hiyo.

Cc. Dr. Modestus Kipilimba
Cc. Robert Msalik
 
  • Thanks
Reactions: vvm
we jamaa baada ya kuona washikaji wanakula kaunda suti na wewe umeshatamani tayar!
 
Mkuu usione wanavaa suti au kaunda suti ukafikiri ni rahisi au ni kutamu hapana ,,hyo kazi ni ngumu tofauti na sisis raia tunavyochukulia na kutokana na story za vigengeni mtaani,,,,na ukiipata hautotaman ujulikane kwa title hyo wew ni usalam ,,,utaishi kama ndege kwa namna nchi inavyopitia mambo magumu kwa sasa,,,watu wengi tunalala mtaani tunafanya kila jambo lakin hao jamaa wapo macho kama bundi kutizama ni yapi yanaweza kuatarisha usalam wa ichi,,,kama unataman san hyo kazi muombe mungu sana lakin jua pia unajitoa kwa taifa kwanza,,na uwe tayar kwa lolote katka maisha yako na ndio uzalendo ??

.....karibu mtaani tujitegemee kwa biashara ndogo ndogo
Ahaa, kama ndivyo wangewatambua wasiojulikana, labda kama ni Wadau.
 
Hawana raha duniani wale watu
Wanaishi maisha ya kuchunguzana wao kwa wao ili siri zisivuje

Familia zao pia zaishi kwa mashaka maana siri zikivujishwa na wewe haupo familia inaumizwa

Ni kazi ya kiboya sana tena hawa walio mitaani

Wale walio kule ofisini kwenye makompyuta na kule tcra, bandarini, uhamiaji, bot na mabenki mbali mbali ndio wanafaidi maana wao wanajua siri za watu
 
Back
Top Bottom