Prophet Suguye alitabiri kifo cha Kiongozi Bungeni

Prophet Suguye alitabiri kifo cha Kiongozi Bungeni

Pascal_TZA

Member
Joined
Mar 25, 2014
Posts
35
Reaction score
101
Kiongozi wa dini maarufu mtandaoni, @prophet_nicolaus_suguye , hivi karibuni aliandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram akihimiza maombi kwa taifa na mihimili mitatu ya dola, akidai kuona dalili za kuondoka kwa viongozi wakubwa. Ujumbe huo umeibua mjadala mkubwa miongoni mwa wananchi baada ya taarifa kuthibitishwa leo kuwa Waziri wa zamani na Mbunge wa Isimani, William Lukuvi, amefariki dunia jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya serikali, kiongozi huyo alifariki asubuhi ya tarehe 25 Machi 2026 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa baada ya kupata mshtuko wa moyo, na shughuli za Bunge zimesimamishwa kwa muda kama ishara ya maombolezo ya kitaifa. Serikali na wananchi wameendelea kutoa salamu za rambirambi wakimtaja marehemu kama mtumishi wa umma aliyetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa kwa zaidi ya miongo kadhaa ya uongozi.

 
Kuna vitu vingine havihitaji utabiri kwa sababu mimi naweza kubet tu kabla ya mwaka huu kuisha mtu maarufu atakufa sasa kiuhalisia ni kitu ambacho probability yake ni zaidi ya 80%..kwa sababu ya life expectancy yetu na pia nature
 
Ndo mana manabii fekii wazidi kuwa matajiri mana wapuuzi kama mtoa mada ndio kondoo wao.

Kwani nani hatokufa?
 
Kwa hiyo wewe unategemea kabisa mpaka mwaka unaisha watu maarufu hawatakufa hata kama asingetabiri
Ni sawa na kutabiri Mwaka huu baashi ya Miikoa itakubwa na mafuriko.

Kama anatabiri atutajie na jina
Kiongozi wa dini maarufu mtandaoni, @prophet_nicolaus_suguye , hivi karibuni aliandika ujumbe kwenye ukurasa wake wa Instagram akihimiza maombi kwa taifa na mihimili mitatu ya dola, akidai kuona dalili za kuondoka kwa viongozi wakubwa. Ujumbe huo umeibua mjadala mkubwa miongoni mwa wananchi baada ya taarifa kuthibitishwa leo kuwa Waziri wa zamani na Mbunge wa Isimani, William Lukuvi, amefariki dunia jijini Dodoma.

Kwa mujibu wa taarifa rasmi ya serikali, kiongozi huyo alifariki asubuhi ya tarehe 25 Machi 2026 akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Benjamin Mkapa baada ya kupata mshtuko wa moyo, na shughuli za Bunge zimesimamishwa kwa muda kama ishara ya maombolezo ya kitaifa. Serikali na wananchi wameendelea kutoa salamu za rambirambi wakimtaja marehemu kama mtumishi wa umma aliyetoa mchango mkubwa katika maendeleo ya taifa kwa zaidi ya miongo kadhaa ya uongozi.

 
Back
Top Bottom