Viongozi wa CCM wanashangaza, wanatuhimiza kunawa mikono, kuvaa barakoa, kuepuka mikusanyiko na kukaa Nyumbani Kama hauna sababu ya kutoka, lakini wakati huo huo wanatuambia kuwa Tanzania Hakuna korona.
Cha kushangaza idadi ya Madereva wanaopimwa na kukutwa na virus vya korona kwenye mipaka ya nchi jirani Kama Kenya, Uganda na Rwanda inatisha sana na inatufanya tuamini kuwa korona imeshakuwa kubwa kuliko kawaida hasa ukiamua kutumia Madereva hao kama sample.
Mimi nasubiri Rais wangu arudi Dar ndo na mini nitajuwa Tanzania hamna korona.
Cha kushangaza idadi ya Madereva wanaopimwa na kukutwa na virus vya korona kwenye mipaka ya nchi jirani Kama Kenya, Uganda na Rwanda inatisha sana na inatufanya tuamini kuwa korona imeshakuwa kubwa kuliko kawaida hasa ukiamua kutumia Madereva hao kama sample.
Mimi nasubiri Rais wangu arudi Dar ndo na mini nitajuwa Tanzania hamna korona.