Propaganda vs facts!

Propaganda vs facts!

Hapa inawezekana mama alicheza mchezo fulani wakati mzee akiwa anakariri kilometer za barabara
 
Mkuu samahani ingawa huo mfumo wa ku-reseat huku unasoma form five uliondolewa... je mfumo wa kusoma form V & VI kwa mwaka mmoja nao uliondolewa?
Kwa ukilaza wa jesca hawezi kusoma five na six mwaka mmoja na akafaulu
 
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J
Pole ndugu yangu, maelezo yako ni safi. Lakini hao wao waliojaribu kukuchimba, wasingepoteza muda wao kama wangejua kuwa hata kama nawe ungekuwa ulipata div 4/0, zigo la Baba Jesca lisingepata unafuu wowote.
 
Hongera sana malisa kwa ufafanuzi wako..ila kuna shaka kidogo.mbona hamtaki kujishughulisha kujua ni wapi alikuwa jesca baada ya matokeo ya O level?tuamini kwamba alikaa nyumbani tu kisha akaibukia UDOM!!!kuna malisa mwingine ameonekana ana div 4..nawe wasema si wewe. Je hili haliwezi kutokea kwa jesca pia?mwisho nimejaribu kutafuta matokeo yako majengo sec sijayaona!kama hutajali hebu tuwekee hapa jamvini..lkn kimsingi nikubaliane nawe kwamba kuna haja ya kupitia upya mfumo wa elimu yetu.
 
Huwezi ukajustify hilo la Jesca. Mtajaribu sana kutetea ila ukweli unabaki palepale. 2011 umemaliza form 4 matokea yanatoka 2012 ila anaingia mwaka wa tatu chuo kikuu! Mmmmmh
Hivi ujiulizi kati ya 2011 mpaka oktoba 2014 alikuwa anafanya nini na alikuwa wapi? Kwanini asidahiliwe kuchukuwa shahada mwaka 2012?
Wewe hujaniambia kama umeangalia hicho kupindi cha Kipima Joto cha ITV ukasikia alichokisema Prof Mkumbo, nafikiri ni taahira pekee ndiye atabaki anaulizia uhalali wa binti huyu kuwa hapo alipo.
 
mimimkwa maoni yangu naona mwenye uwezo
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J
mimi naona mwenye uwezo wa kujibu Jesca alifikaje chuo kikuu ni baba Jesca hao wengine wanaccm wanaokuibu wanajipendekeza tu,
 
Nilifikiri unakanusha kwa kutoa matokeo yako hadharani kumbe mkuki kwa nguruwe?
Upumbavu mliouleta dhidi ya huyu binti umekwisha tolewa majibu humu jamvini na yamekidhi. Kuyakubari hamlazimishwi kwani hayo ndiyo majibu mujarabu kwa hoja hii.Tunajua mtakubali akijiunga na chama chenu mtaunadi ukipanga wake kama mnavyomnadi Lowasa sasa wakati akiwa ccm mligoma kuambiwa kuwa hausiki na ufisadi. Kwa kuwa mnajulikana mnaachwa kama mlivyo.
Hoja hii ilijibiwa si kwa sababu ya kuwaridhaisha chadema. Abadani, hoja hii ilijibiwa ili kuufahamisha waungwana wa Tanzania kuwa binti huyu kapita katika mfumo halali na anastahili kuwa hapo na mtu mwingine yeyote mwenye sifa hizo anaweza kufuata mfumo huo. Watanzania wameelewa.
Samahani mkuu! Pamoja na majibu yako mazuri, naomba niunganishe na uzi ulioweka hoja na maelezo ya kufafanua hatua alizopitia Jesca hadi kufika chuo kikuu!

Kaka.
 
Propaganda is not necessarily non-facts. Propaganda inaweza kuwa based on facts. Strictly speaking, propaganda is not about telling lies. It is about biased communication, exaggeration and such things. Unafanya propaganda kwa kuwa unataka watu wawe na mtizamo flani kuhusiana na jambo flani. Unaweza kufanya hivyo kwa kutumia taarifa za kweli au za uongo. Pale ambapo taarifa za kweli hazipo, watu hutunga taarifa za uwongo na kuzitumia katika mradi wao wa propaganda. Kwa mfano, matokeo yaliyoonesha kuwa Malisa alipata Div IV huko Minaki yangekuwa kweli, unapoyachambua na kuyawekea chumvi ili kufanya watu wawe na mtizamo flani kuhusu Malisa, hiyo ni propaganda. That said, the heading Propaganda vs Facts is misleading because it reduces propaganda into the category of non-facts.
 
Malisa wewe ni kilaza, tunakujua. weka matokeo yako, form iv ulidunda husilete story za hoooo kama unahushaidi nenda mahakamani, husijisafishe wewe kilaza
 
Mkuu umetoa ufafanuzi na maelezo yanayojitosheleza sana kabisa bila kuacha chembe ya shaka, tatizo ni mfumo mbovu, kwa mfano kwa hiyo ishu ya jesca inawezekana hata baba yake hakujua kama binti yake amefanya ujanjaujanja mpaka kafika hapo alipo na hii ingekuwa ulaya ingekula kwa jesca na kwa baba yake
Kama baba yake hakuwa na habari juu ya elimu ya mtoto wake tumweke kundi gani?
(i) baba aliyeitelekeza familia au
(ii) baba asie ijali familia yake?
 
Samahani mkuu! Pamoja na majibu yako mazuri, naomba niunganishe na uzi ulioweka hoja na maelezo ya kufafanua hatua alizopitia Jesca hadi kufika chuo kikuu!

Kaka.
Kama nimekuelewa, hata huko nimechangia sana toka siku uzi huu umewekwa na nlieleweka na ndio maana nimehitimisha katika uzi huu.
 
MKUU UMESHUKA VYEMA SANA, NJOO HAPA UNIPE MAJIBU.

Kwanza Umeongea Kwa Mtiririko Mzuri Sana Na Umeeleweka Lakn Kuna Kitu Hujakigusa Kabisa Na Unakijua Wazi Kwmb Hujakigusa Ila Kwasababu Unajua Propaganda Umewaacha Wengi Solemba Kuamini Unachochuzungumza Ambacho Chaweza Kuwa Kweli Au Urongo

a). Umeanza Kusema Hiyo Shule Walosema Umesoma Si Kweli. Ukakiri Umesoma Majengo Sec

b). Ukasema Kwmb, Matokeo Yaliyopo Mitandaoni Fb, Insta, Jf, ect Sio Yako, Na Ukakiri Tena Ulipata Daraja La Kwnza.

Mimi Sitashuka Kama Ulivyoshuka Lakn Nahitaji Ujibu Haya Maswali Ili Twende Sawa.

MASWALI.
1. Wewe Na Jesca, Nani Anayewajua Ninyi Tofauti Na Wazazi Wenu?!.

2. Awali Sisi Tuliamini Shule Na Matokeo Yalotupiwa Mitandaoni Ni Yako Lakn Baada Ya Kuja Na Hoja Sasa Unataka Tusiamini Tuloambiwa Na Badala Yake Tuamini Maneno Yako.
So Iweje Wewe Unamsemea Jesca Matokeo Alopata Na Kutaka Kutuaminisha Ingali Wewe Umekana Matokeo Na Shule Ulosoma?!.

3. Je Naye Jesca Akija Hapa Na Kusema Unaeleza Uongo Kisha Akaja Na Mtiririko Wa Maneno Kama Ulokujanayo, Nyote Tuwaite Waongo Au Mnatuzuga?!.


4. Kwanini Wewe Malisa Usikane Yako Na Kuyaacha Ya Jesca Ambayo Yanaweza Kupotoshwa Kama Yako Yalivyopotoshwa?!.

5. a).Hao Waloleta Matokeo Yako Wanakujua Wewe Kwa Kiasi Gani?

b). Wewe Unayeeleza Matokeo Ya Jesca Unamjua Kwa Kiasi Gani?!.

6. Kwa Jamii Isokupenda Ikakuchafua, Sisi Tuliamini Kwmb Wewe Ulipata Zero Form4, Na Pengine Hata Shule Hukumaliza , Je. . . ! Wewe Utatuaminishaje Kwmb Jesca Alimaliza Shule 2011 Na Si Mwaka 1992?.

7. Matokeo Ya Form4 Kuanzia 2011 Yalikuwa Yanatoka Kwa Namba Na Si Majina, Je Yale Matokeo Yalorushwa Mitandaoni Mbona Yanaonyesha Jina La Jesca?!.
Naomba Unijibu Hayo Maswali Lakn Haya Maswali Yasingekuwepo Kama Tu Ungeongelea Yako Na Kuacha Ya Jesca.
 
Kwanza mimi naomba nihakikishiwe huyu binti ni mtoto Rais John Pombe Magufuli au ni yale yale ya watu kutafuta majina yanayofanana na kuyafanya ya wengine kama ilivyofanyika kwako kwa kubatizwa Godlisten Malisa wa Minaki Shule ya Sekondari?

Kama ni kweli huyu binti ni mtoto wa Rais huyu aliyeko madarakani sasa, basi hakuna lugha nyingine zaidi ya kumwelezea zaidi ya kusema Rais amechafuka kwa kashfa hii.

He must get out na ajieleze mbele ya umma kwa sababu linaigusa familia yake moja kwa moja.

Kwa hili pekee atakuwa amekosa moral authority ya kuita watoto wa watu wengine "VILAZA" kumbe vilaza wako ndani ya familia yake mwenyewe na si ajabu huyu binti ana mkopo wa elimu ya juu, pesa za serikali kwa 100%!!!
Ukianza Vizuuuri Ukamaliza Vibaya Mkuu.
 
Pole sana wapi au taarifa inakwambia miaka 3 hiyo alikuwa anafanya nn mtaan na vipi swala kurisit



Pia dr mwaka 2011 matokeo yalikuwa ni kwa njia ya namba so kama vipi aliyekupa hiyo taarifa mwambie akupe namba ya mtihani
Majina ilikuwa mwisho nadhan 2009

Hayo uonayo ni mchezo wa picha lakin haina ushahid qa kutisha kama kuonesha namba ya mtahiniwa
Napenda Sana Hoja Kama Jamaa Alivyoiketa.
Umehoji Vyema Sana
 
Mwisho wa kutoa majina ulikuwa 2011. Mwaka 2012 ndio ulioleta matokeo ya kushtusha ambayo yakawa reversed.
No Si 2011 Mkuu Ni Nyuma Ya Hapo Coz 2008 Yalitoka Na Majina Baada Ya Hapo Hakukuwa Tena Na Majina. Nakumbuka Sana Hiyo Kitu
 
kwenye iyo article anasema amesoma majengo secondary n kama ndivyo ina maana kutakuwa na kina godlisten malisa watatu
aliesoma jk nyerere secondary
aliesoma minaki secondary
aliesoma majengo secondary

sasa ukienda kwenye records za majengo secondary jina la godlisten malisa halionekan jina la godlisten malisa linaonekana jk nyerere na minaki
wa jk nyerere anaitwa
GODLISTEN A MALISA alevel kasoma sengerema secondary kombi ya PGM kahitimu form six mwaka 2010 ila uyu wa chadema anaitwa GODLISTEN J MALISA na kwa mujibu wa maelezo yake anasema kuwa both olevel na alevel kasoma moshi cha ajabu iyo shule ya majengo anayodai kasoma jina lake halionekan ktk matokeo ya form four ya miaka ya 2009 kurud nyuma

GODLISTEN A MALISA chuo kikuu kasoma udom
GODLISTEN J MALISA wa chadema chuo kikuu kasoma saut

GODLISTEN A MALISA olevel kasoma jk nyerere secondary na alipata division one ya point 16,alevel alisoma sengerema secondary kombi ya pgm akapata division three ya point 13 chuo kikuu akasoma udom

GODLISTEN J MALISA wa chadema kasema kuwa kasoma majengo secondary ambapo jina lake halionekan kwenye matokeo,hajasema kuwa alevel kasoma shule gan kaishia kusema amesoma moshi na chuo kikuu alisoma saut
kwaiyo apo kwa huo mkanganyiko n waz kabisa yule GODLISTEN MALISA wa minaki aliyepata division four ndie huyu kada wa chadema
Nimefurahi Ulivyohoji Mkuu Japo Ukweli Anaomwenyewe Coz Hajaweka Wazi Mambo Mengi Kuhusu Kupinga Matokeo Na Shule
 
No Si 2011 Mkuu Ni Nyuma Ya Hapo Coz 2008 Yalitoka Na Majina Baada Ya Hapo Hakukuwa Tena Na Majina. Nakumbuka Sana Hiyo Kitu
Lets agree to disagree. Jaribu ku access waliofanya mitihani 2012 na majibu yakatoka 2013.
 
Elimu kuingiliwa na siasa,ambazo humkandamiza aliye chini na kumtetea aliye juu ndo picha inayo onyeshwa Tz.Kama kilaza aliye wazidi vilaza anatetewa bila hata haibu.
 
Back
Top Bottom