Propaganda vs facts!

Propaganda vs facts!

Usiwe mshamba wa fikira wew, hujui kitu kaa kimya, acha kidomo domo kama mlevi wa viloba. Hakuna mfumo maalum wa kusoma certificate isipokuwa diploma, anaweza akawa alimaliza 2011 halafu mwaka huo huo akasoma certificate. Cjui akili yako ina wadudu gani. Thank God sijapata uongozi nchi hii, watu wa sina yako wanhekuwa wanakula maharage huko, huwezi ikawa unamuattack mtoto wa Kiongozi kwa kujifichia kwenye hoja dhaifu. Fumbagu thana
 
kwenye iyo article anasema amesoma majengo secondary n kama ndivyo ina maana kutakuwa na kina godlisten malisa watatu
aliesoma jk nyerere secondary
aliesoma minaki secondary
aliesoma majengo secondary

sasa ukienda kwenye records za majengo secondary jina la godlisten malisa halionekan jina la godlisten malisa linaonekana jk nyerere na minaki
wa jk nyerere anaitwa
GODLISTEN A MALISA alevel kasoma sengerema secondary kombi ya PGM kahitimu form six mwaka 2010 ila uyu wa chadema anaitwa GODLISTEN J MALISA na kwa mujibu wa maelezo yake anasema kuwa both olevel na alevel kasoma moshi cha ajabu iyo shule ya majengo anayodai kasoma jina lake halionekan ktk matokeo ya form four ya miaka ya 2009 kurud nyuma

GODLISTEN A MALISA chuo kikuu kasoma udom
GODLISTEN J MALISA wa chadema chuo kikuu kasoma saut

GODLISTEN A MALISA olevel kasoma jk nyerere secondary na alipata division one ya point 16,alevel alisoma sengerema secondary kombi ya pgm akapata division three ya point 13 chuo kikuu akasoma udom

GODLISTEN J MALISA wa chadema kasema kuwa kasoma majengo secondary ambapo jina lake halionekan kwenye matokeo,hajasema kuwa alevel kasoma shule gan kaishia kusema amesoma moshi na chuo kikuu alisoma saut
kwaiyo apo kwa huo mkanganyiko n waz kabisa yule GODLISTEN MALISA wa minaki aliyepata division four ndie huyu kada wa chadema
 
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J
 
Tulia dawa iingie we Kilaza wa CCM.
Manamba wa Lowasa upo!!!!! Wewe ndiye mpumbavu kuliko wote niliowaona, Wewe badala ya kujichikisha kwa taasisi wewe unajishikisha kwa mtu? Wewe huna tofauti na mfugo.
Mimi ndiye ninayeingiza dawa na ninawamudu hawa mifugo ya chadema.
 
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J














nimeyachunguza matokeo ya shule ya majengo secondary yenye usajili namba S485 kuanzia mwaka 2003-2009 sijaliaona jina la godlisten malisa au ulifukuzwa shule kabla ya pepa?
kwann usikubali kwa moyo mweupe kuwa ile divishen four yakule minaki n ya kwako?
wenzio mchana wamekutetea wamesema umesoma jk nyerere secondary sasa hv ww unasema umesoma majengo secondary tumwamin nan?
 
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J














nimeyachunguza matokeo ya shule ya majengo secondary yenye usajili namba S485 kuanzia mwaka 2003-2009 sijaliaona jina la godlisten malisa au ulifukuzwa shule kabla ya pepa?
kwann usikubali kwa moyo mweupe kuwa ile divishen four yakule minaki n ya kwako?
wenzio mchana wamekutetea wamesema umesoma jk nyerere secondary sasa hv ww unasema umesoma majengo secondary tumwamin nan?
 
Usinijumuishe kwenye hilo. Kama unajua mfumo wa elimu huwezi ridhika na majibu mepesi kama haya. Kafeli kafeli acheni kutetea ujinga hapa. Mbona hakuna aliyewahi kuhoji kuhusu Rz1? Ni kwakuwa alipita njia zinazoeleweka kama wengine.
Mwanafunzi husika hajafeli kama unavyosema bali amefaulu kwa daraja la nne lenye pointi 30. Kwanza rekebisha hilo ili nikupime kiwango chako cha uungwana kisha tuendelee kujadili.
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Hoja hii imejibiwa katika uzi upi, tafadhali nisaidie mkuu Msororo69!
Fuatilia hoja mbalimbali nilizojibu. Pia fuatilia Majibu ya Prof Kitila Mkumbo kwenye kipindi cha Kipima Joto utapata usuli wa udahili wa namna hii.
 
Hivi inawezekana mtu kasoma miaka 4 tena shule nzuri tu ameambulia D IV! sasa form V & VI ataweza kusoma kwa mwaka 1? Labda malaika wamfundishe!
Hilo inaitwa fact!
Mwanafunzi husika hajafeli kama unavyosema bali amefaulu kwa daraja la nne lenye pointi 30. Kwanza rekebisha hilo ili nikupime kiwango chako cha uungwana kisha tuendelee kujadili.
Nakubali nimekosea Mkuu! Daraja alilolipata halimruhusu kujiunga na chuo kikuu kama hatapitia certificate na diploma au kureset. Ila kwa muda aliyomaliza nadhani hesabu hazikai sawa.
 
Hilo inaitwa fact!

Nakubali nimekosea Mkuu! Daraja alilolipata halimruhusu kujiunga na chuo kikuu kama hatapitia certificate na diploma au kureset. Ila kwa muda aliyomaliza nadhani hesabu hazikai sawa.
Kumbe swala hapa ni hesabu? Fuatilia maelezo ya Prof Kitila Mkumbo katika kipindi cha kipima joto ITV utapata usuli wa kudahiliwa wanafunzi wa kidato cha nne ili kujaza pengo la wanafunzi vyuo vikuu.
 
Kumbe swala hapa ni hesabu? Fuatilia maelezo ya Prof Kitila Mkumbo katika kipindi cha kipima joto ITV utapata usuli wa kudahiliwa wanafunzi wa kidato cha nne ili kujaza pengo la wanafunzi vyuo vikuu.
Huwezi ukajustify hilo la Jesca. Mtajaribu sana kutetea ila ukweli unabaki palepale. 2011 umemaliza form 4 matokea yanatoka 2012 ila anaingia mwaka wa tatu chuo kikuu! Mmmmmh
 
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J
Hili suala la Jesca umechimba sana kiasi cha kuonekana una interest vizuri na pengine unasaidia wasio jua
Sasa kwa ufahamu tu wa Kawaida utakuta watoto wote wa viongozi huko CCM wapo hivyo
(1)Angalia watoto wote wa Marais waliopita bila kujali aliyemaliza mda wake hiv karibuni
(2)Watoto wa Mawaziri wakuu
(3)Watoto wa Mabalozi
(4)Watoto wa majaji
Unaweza kuona wengine hata ni mateja sasa usichimbe sana kwa huyo mmoja ambaye tayari wenye akiri wamesha jua wewe angalia hata hao wengine ukiweka orodha ya watoto wote wa viongozi wa CCM utaona afadhali Jesca
Sasa mada hii ya UDOM inatuondoa kwenye masuala mengine mazito kama lile la Lugumi,Escro na wizi mwingine

Hata hivyo ndani ya CCM kuna vita kali ambayo wanatakaisambae kwa jamii zima ili wizi usijulikane bali vita yao ya kusalitiana
Kwa sasa wengine wanang'ang'ania uenyekiti kuogopa kutumbuliwa. Kama ni wezi wache wanyukane wenyewe
Kama ni aibu ya UDOM inarudi kwa hao hao watawala walioko madarakani na waliopita
Tusipoteze mda hapa tuendelee na wizi wa LUGUMI
 
Usiwe mshamba wa fikira wew, hujui kitu kaa kimya, acha kidomo domo kama mlevi wa viloba. Hakuna mfumo maalum wa kusoma certificate isipokuwa diploma, anaweza akawa alimaliza 2011 halafu mwaka huo huo akasoma certificate. Cjui akili yako ina wadudu gani. Thank God sijapata uongozi nchi hii, watu wa sina yako wanhekuwa wanakula maharage huko, huwezi ikawa unamuattack mtoto wa Kiongozi kwa kujifichia kwenye hoja dhaifu. Fumbagu thana
Hivi miaka hiyo ya 2010 na kuendelea matokeo ya form four yalikua yakitoka mwezi gani?
 
kwenye iyo article anasema amesoma majengo secondary n kama ndivyo ina maana kutakuwa na kina godlisten malisa watatu
aliesoma jk nyerere secondary
aliesoma minaki secondary
aliesoma majengo secondary

sasa ukienda kwenye records za majengo secondary jina la godlisten malisa halionekan jina la godlisten malisa linaonekana jk nyerere na minaki
wa jk nyerere anaitwa
GODLISTEN A MALISA alevel kasoma sengerema secondary kombi ya PGM kahitimu form six mwaka 2010 ila uyu wa chadema anaitwa GODLISTEN J MALISA na kwa mujibu wa maelezo yake anasema kuwa both olevel na alevel kasoma moshi cha ajabu iyo shule ya majengo anayodai kasoma jina lake halionekan ktk matokeo ya form four ya miaka ya 2009 kurud nyuma

GODLISTEN A MALISA chuo kikuu kasoma udom
GODLISTEN J MALISA wa chadema chuo kikuu kasoma saut

GODLISTEN A MALISA olevel kasoma jk nyerere secondary na alipata division one ya point 16,alevel alisoma sengerema secondary kombi ya pgm akapata division three ya point 13 chuo kikuu akasoma udom

GODLISTEN J MALISA wa chadema kasema kuwa kasoma majengo secondary ambapo jina lake halionekan kwenye matokeo,hajasema kuwa alevel kasoma shule gan kaishia kusema amesoma moshi na chuo kikuu alisoma saut
kwaiyo apo kwa huo mkanganyiko n waz kabisa yule GODLISTEN MALISA wa minaki aliyepata division four ndie huyu kada wa chadema
Mkuu mtoa mada jina lake si mwanahabari halisi nimejaribu ku Google hili jina silipati kwani alimaliza shule mwaka gani?
 
Vijana wa ccm si ndo wanajitokeza kwenye bunge!
 
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J

Bwana Malisa naona umeamua kumtetea huyo Jesca
Huoni kama kilichotokea kwako kuwepo kina Malisa wawili kinaweza kumtokea hata Jesca John Magufuli wakawepo wawili.
Kama Malisa wamefoji hata Jesca wanaweza kufoji pia.
Hoja yangu ya pili ni hii kwa nini hoja inajengwa bila facts?
Daima utasikia alipaswa kuwa, au kama angesoma kozi fulan basi leo asingekuwa hapo. Tumeona ulipojaribu kuungaunga ulimgusa Prof.Mwandosya akalazimika kufanya MASAHIHISHO. Kama rekodi za O level zimepatika tumeshindwaje kuleta taarifa sahihi alienda wapi baada ya hapo. Namaanisha tuleteeni matokea yake ya advanced Secondary/Chuo(certificate au diploma). Mbona tumeweza kupata shule na matokeo yake ya O level? Tumeweza kupata Simu za Wakuu O level mpaka wa Chuo na ukazianika humu mtandaoni, nadhani kina Kikula walikupa Ridhaa yao.
Kama utaendelea kuleta hoja kwa misingi ya MATHEMATICAL IMBALANCE badala ya FACTS, Mimi nashindwa kukuelewa.
 
Jana nilieleza kuwa namuunga mkono Mhe.Rais ktk kufanya "restructuring" ya mfumo wa Elimu nchini. Lakini nikaomba asiwe na "double standards", maana kuna wanaoguswa na wengine hawaguswi. Nikatoa mfano wa binti aitwaye Jesca Magufuli. Hoja yangu haikua Jesca, bali ililenga kueleza shida iliyopo ktk mfumo. Pamoja na nia nzuri ya Rais ya kuhakikisha wasio na sifa wanaondolewa vyuoni na kubaki wenye sifa tu, lakini kuna wasio na sifa wamebaki. Pengine Jesca ni kielelezo tu cha wengi ambao hawajaguswa.

Baada ya mjadala huo nilijua vijana wa CCM kama kawaida yao wataanza kuni-attack badala ya kujibu hoja. Maana huwa hawajui kupambana na hoja bali hupambana na mtoa hoja. Kwa hiyo nilijua watakuja na personal attacks na kukimbia hoja.

Leo kuamka asubuhi nikapigiwa simu nyingi nikiulizwa kama nimeona matokeo yangu mtandaoni. Nyingine namba mpya hata sizijui. Kucheck simu nina text zaidi ya 50 kutoka kwa watu mbalimbali wakiongelea hicho kilichoitwa "matokeo yangu". Wengine wananiulizia kama kweli ni matokeo yangu, lakini wengine wameshaconclude kuwa ni yangu hivyo wakanitumia text "kaka kumbe na wewe ni Kilaza??"

Nikaanza kutafuta hayo yanayodaiwa kuwa matokeo yangu na kujikuta natabasamu. Nikakuta matokeo kijana mmoja aitwaye "Godlisten Malisa" ana Div.4 ya point 27 kutoka shule ya sekondari Minaki. Nikajua hii ni "siasa chafu" ya vijana wa CCM ktk mpango wao wa kuhamisha mada. Lengo ni kuwatoa watu ktk mada kuu ya kuboresha mfumo wa elimu nchini na kuanza kumdiscuss Malisa.

Na wamesambaza propaganda hiyo hadi wakahakikisha "Malisa anakua maarufu zaidi ya Jecha kwa siku ya leo". Maana nimepita Fb ni Malisa, whatsapp Malisa, Insta na Tweeter kote watu wanamjadili Malisa. Lakini Malisa Malisa anayejadiliwa na Malisa aliyeko kwenye hayo matokeo ni watu wawili tofauti tena wasiofahamiana.

‪#‎UFAFANUZI‬.
Matokeo yanayosambazwa kwamba nimesoma Minaki Sekondari na nilipata Division four ya points 27 sio yangu. Sikuwahi kusoma Minaki na sikuwahi kupata alama hizo. Hata shule ya sekondari Minaki nilikuja kuijua baada ya kumaliza form six, nilikuaga naisikia tu.

Watu wananiuliza kama huyo Godlisten wa Minaki sio mimi, je ni nani?

‪#‎Majibu‬.
Simfahamu bila shaka na yeye hanifahamu. Anaweza kuwa ndugu yangu kwa kuwa Malisa wote ni ndugu. Na ukoo wa Malisa ni mkubwa. Chimbuko lake ni Old Moshi, lakini akina Malisa wapo hadi Mwika, Rongai, Uru, na Siha. Kwahiyo siwezi kumjua kila Malisa labda kama ningekua kiongozi wa Kimila au mzee wa Ukoo.

Mimi nimesoma Moshi both O-level na A-level. Wanaonifahamu au niliosoma nao wanaweza kueleza vizuri zaidi. Sio kwamba najisifu lakini uwezo wangu darasani haukuwahi kutiliwa shaka. Labda kama niamue kuzembea tu lakini namshukuru Mungu sijawahi kufanya vibaya. Unaweza kwenda Majengo sekondari na kuuliza matokeo yangu au ukayasearch kwny mtandao ktk website ya NECTA. Nimepata daraja la kwanza (division 1) na sio division four kama inavyopotoshwa.

SASA TURUDI KWENYE HOJA.
Baadhi ya watu wamejenga hoja kuwa huenda Jesca alisoma foundation course (Certificate then Diploma) kabla ya kujiunga chuo kikuu.

#MAJIBU
Naufahamu vizuri mfumo huo na sina matatizo nao. Nafahamu watu wengi waliosoma kwa kuanzia certificate na sasa ni wasomi wazuri tu na wanafanya vizuri ktk shughuli zao. Kwahiyo tatizo sio kuanzia certificate. Hata wale wanafunzi wa UDOM walipofukuzwa nilihoji sababu ya kufukuzwa kwao. Nilipoambiwa ni kwa sababu wametoka form four nilishangaa sana. Yani mtu azuiliwe kusoma Certificate au Diploma kwa kuwa tu ametoka form four. Nikasema hii si sawa.

Mi navyofahamu mtu anaweza kumaliza form four na akaenda kusoma certificate then Diploma kisha Degree na kuendelea. Mtu mmoja akanijibu kuwa "iliwezekana zamani ila si wakati huu wa JPM. Wakati huu vilaza watafute pa kwenda". Nikashtuka, na kujinyamazia.

Lakini watu haohao waliosema maneno hayo leo wamebadilika. Wanatetea kile walichokipinga kwa sababu tu wamesikia jina la mkubwa yupo chuo kikuu kwa kutumia mfumo huo. Huu ni unafiki. Tuwe na standards za kufanana bila kujalisha anayeguswa ni mtoto wa kigogo au maskini.

Lakini je ni mfumo gani unaotufikisha kwenye Elimu ya juu.?? Hakuna tatizo mtu kufika chuo kikuu hata kama alipata zero form four. Tatizo ni je amefikaje? Kama alipata zero kisha akareseat akaweza kufanya vizuri, then akaenda form five na six na hatimaye chuo kikuu, hatuwezi kumhukumu kwa matokeo yake ya kwanza ya division zero.

Kwahiyo watu wanahoji je, Jesca alireseat akapata credit na kwenda form five, au aliamua kutumia alternative ya kupitia certificate then Diploma then Degree? Zote ni njia halali. Na kama alitumia mojawapo kati ya njia hizi mbili hakuna tatizo, ili mradi ieleweke kuwa amepitaje.

Kwahiyo watu hawahoji Jesca kusoma degree Chuo Kikuu. Watu wanahoji amefikaje second year? Muda aliomaliza form four hadi sasa haureflect yeye kuwa second year.

Jesca alimaliza form four mwaka 2011, na matokeo yakatoka 2012. Kama aliamua kureseat basi alireseat mwaka 2012. Then form five 2013/14 na form six 2014/15. Halafu first year 2015/16. That means alitakiwa kwa sasa awe first year. Lakini yupo 2nd year anaingia 3rd year.

Or kama aliamua kutumia option ya Certificate basi alipaswa kusoma Certificate mwaka 2012/13. Then Diploma one 2013/14, na Diploma two 2014/2015. Halafu first year Bachelor 2015/16. That means alitakiwa kuwa first year kwa sasa. Lakini yuko 2nd year, anaingia third year. Swali je, Amefikaje?

Hili ndio swali la msingi ambalo vijana wa CCM hawataki kabisa kulijibu badala yake wanawatoa watu kwenye hoja kwa kufanya "personal attack"

Wazungu husema namba hazidanganyi. Sasa hebu piga mahesabu kuanzia 2011 hadi leo uone Jesca alipaswa kuwa mwaka wa ngapi?

Form four 2011
Kureseat 2012
Form five 2013/14
Form six 2014/15.
First year 2015/16
Means alipaswa kuwa firstvyear kwa sasa, but now yuko second year. Mathematical inbalance.

Or kama alianzia Certificate basi ilipaswa kuwa hivi,
Certificate 2012/13,
Diploma one 2013/14,
Diploma two 2014/15,
First Year 2015/16.
So alipaswa kuwa 1st year now, but yuko second year anaingia 3rd year. Another mathematical inbalance.

Je alisoma form five huku anareseat form four? Mfumo huu wa kusoma form five huku unareseat form four ulishaondoewa na NECTA tangu mwaka 2011. Je yeye kafikaje 2nd year wakati kwa utaratibu alipaswa awe 1st year kwa sasa. Hilo ndio swali la msingi.

Hoja si Jesca kufika chuo kikuu licha ya kupata division four. Hoja ni amefikaje?? Na kuna kina Jesca wangapi wamepita kwa utaratibu kama wake? Je serikali ina mpango gani nao, wakati huu MheRais wetu mpendwa anapojitahidi kuboresha ubora wa Elimu nchini? Ni vizuri vijana wa CCM wakajibu maswali haya kwa mnyambuliko unaoeleweka badala ya kukimbilia kufanya personal attacks.!

Malisa G.J
Who is Jesca? What hasshe done?
 
Kwanza mimi naomba nihakikishiwe huyu binti ni mtoto Rais John Pombe Magufuli au ni yale yale ya watu kutafuta majina yanayofanana na kuyafanya ya wengine kama ilivyofanyika kwako kwa kubatizwa Godlisten Malisa wa Minaki Shule ya Sekondari?

Kama ni kweli huyu binti ni mtoto wa Rais huyu aliyeko madarakani sasa, basi hakuna lugha nyingine zaidi ya kumwelezea zaidi ya kusema Rais amechafuka kwa kashfa hii.

He must get out na ajieleze mbele ya umma kwa sababu linaigusa familia yake moja kwa moja.

Kwa hili pekee atakuwa amekosa moral authority ya kuita watoto wa watu wengine "VILAZA" kumbe vilaza wako ndani ya familia yake mwenyewe na si ajabu huyu binti ana mkopo wa elimu ya juu, pesa za serikali kwa 100%!!!
Kwa jinsi unavyomjua raisi wetu na mfumo wa nchi hii unadhani ingekuwa sio mtoto wake kweli pangekalika hapa. Watu wangeshakuwa lock up sasa hivi kwa kumkashifu raisi.
Na hata hili halijaisha mtakuja kusikia kitakachotokea mbeleni huko kama si kufungwa kwa jf basi itakuwa mitandao yote ya kijamii.
 
Back
Top Bottom