Nilifikiri unakanusha kwa kutoa matokeo yako hadharani kumbe mkuki kwa nguruwe?
Upumbavu mliouleta dhidi ya huyu binti umekwisha tolewa majibu humu jamvini na yamekidhi. Kuyakubari hamlazimishwi kwani hayo ndiyo majibu mujarabu kwa hoja hii.Tunajua mtakubali akijiunga na chama chenu mtaunadi ukipanga wake kama mnavyomnadi Lowasa sasa wakati akiwa ccm mligoma kuambiwa kuwa hausiki na ufisadi. Kwa kuwa mnajulikana mnaachwa kama mlivyo.
Hoja hii ilijibiwa si kwa sababu ya kuwaridhaisha chadema. Abadani, hoja hii ilijibiwa ili kuufahamisha waungwana wa Tanzania kuwa binti huyu kapita katika mfumo halali na anastahili kuwa hapo na mtu mwingine yeyote mwenye sifa hizo anaweza kufuata mfumo huo. Watanzania wameelewa.