Lizaboni
JF-Expert Member
- Feb 21, 2013
- 33,894
- 20,372
Wadau, hakika nimesikitishwa sana na huu upotoshwaji unaofanywa na vijana wa Kinondoni, dhidi ya mke wa Dr Slaa, Rose Kamili. Mtakumbuka kuwa Rose Kamili alikamatwa jana na Jeshi la polisi akitoa rushwa kwa wapiga kura wa Kalenga ili wamchague Grace Tendega wa CHADEMA. Rose Kamili wakati anakamatwa alikuwa na afya njema na hakupata madhara yoyote na ushahidi wa picha ni kwamba alipanda mwenyewe kwenye gari la polisi
Cha ajabu ni kwamba, baadhi ya vijana wa CHADEMA wakitumia ID ya Molemo, waliweka uzi humu JF kwamba hali ya Rose Kamili ni mbaya. Kwamba Rose Kamili amebakwa na vijana wa Green Guard. Kwamba Rose Kamili amepigwa sana na kwamba mipango imefanyika ili apelekwe KCMC Kwa matibabu zaidi.
Binafsi, nimesikitishwa sana hasa hiyo propaganda ya kubakwa. Hata kama lengo la uzi ule ni kutaka kubatilisha mashtaka ya kutoa rushwa yanayomkabili Rose Kamili, hakika neno kubakwa ni baya sana kutumika si tu kwa Rose kamili bali hata kwa mtu mwingine. Ataficha wapi sura yake huyu mama kwa huo uzushi wa kubakwa? Je atakuwa tena jasiri kusimama Bungeni kujadili hoja inayokuwa mbele yake?
Baada ya kufuatilia zaidi, nimegundua kuwa waliotengeneza propaganda hizo ni kundi la Josephine Mushumbusi ilikumharibia mke mwenzake. Nawashauri sana wanachadema kutafuta maneno ya kutengeneza. Hili la Rose Kamili kubakwa limekaa vibaya.
Ni hayo tu wakuu
Cha ajabu ni kwamba, baadhi ya vijana wa CHADEMA wakitumia ID ya Molemo, waliweka uzi humu JF kwamba hali ya Rose Kamili ni mbaya. Kwamba Rose Kamili amebakwa na vijana wa Green Guard. Kwamba Rose Kamili amepigwa sana na kwamba mipango imefanyika ili apelekwe KCMC Kwa matibabu zaidi.
Binafsi, nimesikitishwa sana hasa hiyo propaganda ya kubakwa. Hata kama lengo la uzi ule ni kutaka kubatilisha mashtaka ya kutoa rushwa yanayomkabili Rose Kamili, hakika neno kubakwa ni baya sana kutumika si tu kwa Rose kamili bali hata kwa mtu mwingine. Ataficha wapi sura yake huyu mama kwa huo uzushi wa kubakwa? Je atakuwa tena jasiri kusimama Bungeni kujadili hoja inayokuwa mbele yake?
Baada ya kufuatilia zaidi, nimegundua kuwa waliotengeneza propaganda hizo ni kundi la Josephine Mushumbusi ilikumharibia mke mwenzake. Nawashauri sana wanachadema kutafuta maneno ya kutengeneza. Hili la Rose Kamili kubakwa limekaa vibaya.
Ni hayo tu wakuu