johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Mwenyekiti wa ACT wazalendo Mzee Duni Haji amesema Huu ndio wakati muafaka wa Zanzibar kupata Mamlaka Kamili na Tanganyika wapewe Nchi yao
Aidha Mzee Duni amesema Bandari siyo jambo la muungano hivyo Chadema wasipotoshe Wananchi
Duni amesema Kitu kinachomkera zaidi ni Wanajeshi wa Zanzibar kupelekwa vitani Congo na Rwanda na kuwafundisha Zanzibar wakiwa Kwenye mabox na kuimba raillah.illahula
Mzee Duni amesema Watanganyika wanamnyanyasa Sana Rais Samia kwa Sababu ya Uzanzibari wake
Nitajitahidi kuweka clip Duni kauponda Sana Muungano
Source: ACT wazalendo Online TV
Aidha Mzee Duni amesema Bandari siyo jambo la muungano hivyo Chadema wasipotoshe Wananchi
Duni amesema Kitu kinachomkera zaidi ni Wanajeshi wa Zanzibar kupelekwa vitani Congo na Rwanda na kuwafundisha Zanzibar wakiwa Kwenye mabox na kuimba raillah.illahula
Mzee Duni amesema Watanganyika wanamnyanyasa Sana Rais Samia kwa Sababu ya Uzanzibari wake
Nitajitahidi kuweka clip Duni kauponda Sana Muungano
Source: ACT wazalendo Online TV