Toosie Slide
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 786
- 946
Safi sana mkuu...ila muache ahangaike nayo kwanza hiyo naamini ataanza kuona hisia tofauti na mazingira mengi atayaona kama sio rafiki tena but akizoea atajiona hero kinyama...ukweli ndo huo...kuna sehemu ataona kabisa illusion inabadilika na kuwa reality....
he will be able to view things in two planes of dimensions..
Ndo atajua kuwa mambo yote anayoyaona ni Ilusion 100% hakuna reality hapo na hapo ndo atajua kuwa kumbe kuna maisha nyuma ya pazia na faida yake ataijua pia...
Sent using Jamii Forums mobile app