lifecoded
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 1,424
- 4,325
- Thread starter
- #961
Signal matrix inaonesha kutumia junk DNA ya kila mwanadamu katika Universal data base matrix ...Mm nimeisoma lakini bado sijaona hiyo "Proof" au "Evidence" kuwa tulitengenezwa na Aliens. Umeelezea tu DNA ilivyo na kuwa na non-functional genes sio ushahidi kuwa Aliens ndio wameetuumba. Kutojua non-coding genes zina kazi gani sio kwamba hazina kazi..ni kwamba bado wavumbuzi hawajajua kazi yake kwa sasa.
Na hiyo rhesus factor negative ndio Dah hamna hata uwiano na Aliens lututengeneza kwa taarifa uliyotoa.
Sasa na hizo Empire za Aliens walizopigana na kudondosha madini Duniani kuna proof gani kwenye hilo? Nani aliwaona wakipigana? alijuaje walipigana? kuna ushahidi gani kuwa hayo madini yalianguka?kwamba kumeonekana mashimo makubwa yenye madini Duniani? maana kama yalianguka kungekuwa na Impact kwenye tabia nchi ya maeneo husika kama ambavyo vimondo vinavyodondoka..
Enewei bado hapo hujaweka "Proof" kuwa tulitengenezwa na Aliens kama kichwa cha habari cha makala yako kinavyosema
Uhusiano wa mind controller na Junk DNA ( Non coding Bases ) umeonesha kuwa mwanadamu ni controlled katika nyanja zote...
Sina uwezo mkubwa wa kukufanyia proof ya hilo but mfumo wako mzima wa mwili upo under gene control katika DNA yako...
Watu ambao wame hack off system ambayo inayokuwa controlled na viumbe wenye uwezo mkubwa all maarufu kama Aliens unaonesha kuwa mwanadamu yupo in use bila yeye kujua huku Trapping system ikionesha kuwa kila anachofikilia kinajulikana somewhere kwa kutumia hizo Signals ambazo zinakuwa trapped kupitia Junk bases zetu kwenye DNA..
Ndo mana wataaalumu wa mambo ya molecular analysis wanakwambia kuwa Hizo junk ( non -coding bases) kwenye DNA yetu hazisave for nothing only connecting human being na Universal data base inayotrap kila mmoja wetu kwenye system inayotucontrol...
Kitu kingine kinachosapoti hiyo kitu ni sisi binadamu kuwa connected kila mmoja wetu indirectly...
We are connected each other mindly and all other aspects za mwanadamu.
If somebody is affected mindly,effects hiyo huendelea kuaffect hata mtu mwingine and finally inakuwa imeaffect watu wote..
Ni ngumu sana kuliprove hilo kwa sababu tupo subjected kwenye illusion kubwa sana...only Neural scientists can prove for you kuwa we aee mindly connected each other ...
We are synchronized with the matrix sytem interms of electromagnetic kiasi kwamba kutrap hiyo system you need to understand your blueprint ( DNA ) system kwanza...
Study moja ilifanyika huko michigan ambayo ilihusisha kuharibu Mind ya mwanadamu kwa kutumia mionzi iliyokuwa inatolewa na mashine moja...na madhara yalikuwa ni kwamba kadri neurones za mwanadamu zilivyokuwa zinachange( haribika) walikuwa wanaangalia pia effetcs kwenye mind nyingine ya mwanadamu ambaye alikuwa hajaconnectowa kwenyr mashine ile na conclusion ilikuwa ni kwamba we are connected each other ...
Electromagnetic effects kwenye DNA ya mwanadamu inaaffects zaidi Junk bases( Exon) ambazo kimsingi ndo zinacontrol Intron ( coding bases) zingine ambazo kazi zake zinajulikana..huku
Kwa hiyo conclusion iliyofikiwa ni kwamba ,we human being are controlled kupitia mfumo wa bases ambazo ndo zinatoa signal kwenda kwenye system link nyingine ambayo ina uwezo wa kuharibu mfumo mzima wa DNA bases zingine zaidi...
Thus why they control human mind through electromagnetic waves pamoja na njia nyingine ambazo zitamconnect mwanadamu kwenye system ya mfumo mzima wa DNA yake na system nyingine...
Kwa hiyo JUNK SYSTEM BASES ndo zinatoa signal ya kucontrol DNA nzima ya mwanadamu...
We are nothing at all only our DNA( blueprint) ndo inayotupa concious ya kuja kinachoendelea..tukiizimisha hiyo basi hata wewe hutajua kama upo dunia hii...
Asije akakuambia mtu hata siku moja kuwa hizo junk bases hazijulikani kazi zake...hapana..big no madameeee nakukatakia kabisa kwa moyo wote...
DNA scanning ilishagafanyika kitambo sana kubaini kila aina ya genes kwenye mfumo wako wa DNA na kuna kila cell yako moja ina zaidi ya 25,000 ...Leo hii tusingeweza kudetect abnormal genes zinazosababisha magonjwa kama DM ,sickle cell disease na Syndromes kibao kama Down syndrom, Turner's syndrome,Edward's sydrome n.k
So Junk bases zinajulikana kazi yake ambazo zinaonekana kutuconnect sisi wote kwenye universal data base ya utambuzi wa kila kiumbe hence kuwa easy controlled..
Ndo mana mpaka leo kuwaona wale beings( Aliens) inakuwa ngumu kwa sababu there is no need for them to reveal to us coz they control and see us through the signals trapped through the non coding bases za kila mmoja wetu...
Sent using Jamii Forums mobile app