Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 12,274
- 6,435
Hadi sasa hakuna dawa ya ukimwi duniani huo ndio ukweli,sasa hayo hawajashindwa kutengeneza hiyo dawa na uhalisia tunaona ukimwi kuendelea kusumbua,je hapo nani atakuwa anasoma udaku?hawajashindwa kutoa dawa bana...acha kusingizia na kufuata magazeti ya udaku...umefanya utafiti ukagundua kuwa imeshindikana...??
purpose ya ukimwi ni kupunguza watu duniani...?? ndo ulivyoambiwa...??
Unaweza ukanambia kwanini trend ya population inaongezeka kwa kasi insteady ya kupungua...?? ukimwi umeplay pary ipi hapo...¿?
acheni kufuata story za magazeti bana..population trend ya watu duniani inaongezeka kwa kasi ukilinganisha na ukimwi ulipoingia..
Sent using Jamii Forums mobile app