Ultimate
JF-Expert Member
- Nov 29, 2016
- 713
- 1,738
Hello wakuu,
Nilikua naomba kujua nikiwa na mtaji wa 20M mpaka 50M naweza kuanzisha tech startup?, pia idea gani naweza kuifanya kwa mtaji huo kwenye sector za usafiri (kama bolt au uber vile), sector ya afya, AI, cybersecurity, ecommerce, realestate, fashion etc
Nilikua naomba kujua nikiwa na mtaji wa 20M mpaka 50M naweza kuanzisha tech startup?, pia idea gani naweza kuifanya kwa mtaji huo kwenye sector za usafiri (kama bolt au uber vile), sector ya afya, AI, cybersecurity, ecommerce, realestate, fashion etc