Nasibu Thabith
Member
- Feb 5, 2017
- 37
- 72
Ninatamani sana kufanya biashara ila biashara gani naweza kuifanya kutokana na mtaji wangu ndiyo sijui. Kutokana na kutokua na uzoefu wa biashara, mtaji wangu ni 3m, nachofikilia kufanya hapa kuna mambo mawili japo sijajua lipi ni lipi.
Kitu cha kwanza ni kuanza biashara ya vipodozi, lakini sijui ninawezaje kuanza biashara hiyo. Je, kwa mtaji huo inawezekana kweli? Kama kuna mwenye kujua zaidi kuhusiana na mishe hii tafadhari anipatie mwongozo.
Kitu kingine ninachokiwaza ni kwenda Dodoma na kuingia minadani kununua mbuzi na kuwapeleka Dar kiwandani. Hii mishe pia sina uzoefu nayo japo nasikia inalipa, mwenye kuijua pia tafadhari naomba mwongozo.
Ila kama kuna mwenye idea nyingine tafadhari usisite kushare na mimi, nipo Mwanza, ila sehemu yoyote yenye fursa naweza kuishi.
Kitu cha kwanza ni kuanza biashara ya vipodozi, lakini sijui ninawezaje kuanza biashara hiyo. Je, kwa mtaji huo inawezekana kweli? Kama kuna mwenye kujua zaidi kuhusiana na mishe hii tafadhari anipatie mwongozo.
Kitu kingine ninachokiwaza ni kwenda Dodoma na kuingia minadani kununua mbuzi na kuwapeleka Dar kiwandani. Hii mishe pia sina uzoefu nayo japo nasikia inalipa, mwenye kuijua pia tafadhari naomba mwongozo.
Ila kama kuna mwenye idea nyingine tafadhari usisite kushare na mimi, nipo Mwanza, ila sehemu yoyote yenye fursa naweza kuishi.