Basham
JF-Expert Member
- Oct 10, 2014
- 743
- 429
Habari Wakuu,
Poleni na majukumu yenu ya kila sku,
Niende moja moja kwenye mada. Nahitaji mawazo ya kiwanda gani kidogo kwa Dar naweza anzisha kwa Mtaji wa 20M
Natumai nitapata mawazo nkuntu yatakayonifanya niweze kusongesha mbele Maisha
Natanguliza Shukrani.
Poleni na majukumu yenu ya kila sku,
Niende moja moja kwenye mada. Nahitaji mawazo ya kiwanda gani kidogo kwa Dar naweza anzisha kwa Mtaji wa 20M
Natumai nitapata mawazo nkuntu yatakayonifanya niweze kusongesha mbele Maisha
Natanguliza Shukrani.