Watanzania tayari wameshaamua kufanya MABADILIKO. Mahaba yao kwa UKAWA na Lowassa hayapimiki. Chochote CCM na vibaraka wake wanachotaka kufanya kinagonga mwamba mapema. Huwezi kubadilisha kitu tena.
Watu tunamisimamo kama uliyonayo wewe Mwanakijiji,wewe ni CCM na sisi ni UKAWA..Hakuna hoja itakayoweza kumbadili M4C orginal(Lowasa) na kuwa M4C fake(Magufuli).Ila kwa vile ni ujira wako endelea kupiga pesa.
Watu tunamisimamo kama uliyonayo wewe Mwanakijiji,wewe ni CCM na sisi ni UKAWA..Hakuna hoja itakayoweza kumbadili M4C orginal(Lowasa) na kuwa M4C fake(Magufuli).Ila kwa vile ni ujira wako endelea kupiga pesa.