Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Tunatarajia kuweza kushiriki mjadala wa mfumo wa vyama vingi utakaorushwa moja kwa moja na Star TV asubuhi ya leo (Jumapili) saa moja na nusu Asubuhi. Baadhi ya wageni wanaotarajiwa ni pamoja na Prof. Ibrahim Lipumba, kiongozi wa CCM (ambaye jina na wadhifa sijafahamu), kiongozi wa Chadema na wachangiaji wengine.