Profile ya Dr Slaa

Status
Not open for further replies.
Mnazungusha zungusha na kupaka rangi ili ipendeze lakiini hakuna kitu certificate will remain to be certificate tu.

U Dr wa Slaa ni sawa na wa Dr Remmy, Dr Cheni, Nchimbi, Kamala, Nagu nk
Mmesha nusa harafu ya mavi kama mbwa koko. Mtayafukuzia weee na mtakula patupu hapo! You Devil and haters!
 
Mnazungusha zungusha na kupaka rangi ili ipendeze lakiini hakuna kitu certificate will remain to be certificate tu.

U Dr wa Slaa ni sawa na wa Dr Remmy, Dr Cheni, Nchimbi, Kamala, Nagu nk

Hujui systerm ya elimu ya seminary na utaki kujua kuwa hujui hii ni hatary!
 
Mmmh kumbe "udaktari wa falsafa" tunaupenda wengi.......eeh ndo maana yake tutaupataje ubunge, uwaziri.................
 
Akiwa kamala mhhh sawa ana DR feki, akiwa Slaa ni sawa, oh mara anaya seminari...basi from certificate to doctorate HII KALI.

IN SHORT SLAA HANA UDOKTA WOWOTE, NA KUANZIA LEO NAMWITA SLAA.
 
Kama ni kweli basi ni aibu sana kwa huyu baba!!! Yaani sikuz ote hizi alishindwa kukanusha hadi leo??

I hope atakuja kujisafisha humu la sivyo ni aibu ya mwaka
 
..kuhusu masuala ya vyeti vyake labda ni vizuri tukajifunza mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. lakini so far mchango wa Slaa ktk medani ya siasa unaonyesha kwamba uwezo anao.

..kwa jinsi anavyojenga hoja bungeni, hata angekuwa na elimu ya 'ngumbaru' bado ningempa nafasi kubwa zaidi.


NB:

..Prof.Mwandosya naye alichukua PhD bila kufanya Masters.
 
Kama ni kweli basi ni aibu sana kwa huyu baba!!! Yaani sikuz ote hizi alishindwa kukanusha hadi leo??

I hope atakuja kujisafisha humu la sivyo ni aibu ya mwaka
Mkuu wangu MTM, watanzania waone hivihivi...huyu jamaa hata kama kapitia hiyo system ya semnari, me sijaelewa from certificate mpaka u doctorate.mmmh
 
..kuhusu masuala ya vyeti vyake labda ni vizuri tukajifunza mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. lakini so far mchango wa Slaa ktk medani ya siasa unaonyesha kwamba uwezo anao.

..kwa jinsi anavyojenga hoja bungeni, hata angekuwa na elimu ya 'ngumbaru' bado ningempa nafasi kubwa zaidi.

Ni sawa kuhusu elimu ya katoliki, lakini kama hana PhD hasatahili kuwa Dr. sasa na wakristu wengine? waislamu je? wahindu je? Kama hana PhD basi yeye siyo Dr. Tena aje atusaidie tubaki na imani naye

Hilo la hoja bungeni, ni sawa lakini sio lazima uwe Dr. Ndio uheshimike kwa kutoa hoja bungeni...


NB:

..Prof.Mwandosya naye alichukua PhD bila kufanya Masters.

Hii ni kawaida kwa elimu ya juu zaidi, unaweza ukaanza na Mphil ukamalizia PhD, sio ajabu mkuu
 
mkuu wangu mtm, watanzania waone hivihivi...huyu jamaa hata kama kapitia hiyo system ya semnari, me sijaelewa from certificate mpaka u doctorate.mmmh

yule castor semenya mwanariadha wa kike wa afrika kusini aliyepata gold medal katika mbio za mita 800 anayedhaniwa kuwa na jinsia mbili una uhusiano nae?
 
Hata wewe uliyejaribu kuelezea elimu za philosophy na theology umekosea. Baada ya Form 6 unafanya 2 years Philosophy, na kwa wenzetu wanailinganisha elimu hii sawa na DIPLOMA, na mwenye nayo ana hiari ya kufanya mwaka moja zaidi apate degree, ila ni lazima uende nje, bongo hakuna. Halafu inafuata miaka 4 ya theology hii inalinganishwa zaidi na Bachelors Degree ninavyokumbuka(pengine nicheki) lakini ni kisomo tosha kabisa, masomo yao mhhhhh

Kule kwingine waweza kufanya Bachelors kwa walau 3 years halafu ukaenda for PhD, MASTERS sio muhimu kama alivyokwisha sema mtu mwingine

Lakini yote haya kwa nini? umewahi kumsikia anazungumza kama hajaona darasa?
 
Semenya,MTM,

..nimeona kwamba baada ya A-Level, Slaa amesoma miaka 4[kibosho + kipalapala] na kutunukiwa Certificates. sijui wewe hilo unalichukulia vipi.

..kwa nchi kama UK, vipo vyuo vinatoa 1st degree na masters kwa miaka 4.

..nadhani tunachopaswa kuangalia hapa ni kama within Catholic Church, Slaa anatambulika kama Dr of Phylosophy. baada ya hapo tunaweza ku-cross check kama kweli course work yako was rigorous enough kuweza kutambuliwa kama Dr huku mitaani.
 
..kuhusu masuala ya vyeti vyake labda ni vizuri tukajifunza mfumo wa elimu wa Kanisa Katoliki. lakini so far mchango wa Slaa ktk medani ya siasa unaonyesha kwamba uwezo anao.

..kwa jinsi anavyojenga hoja bungeni, hata angekuwa na elimu ya 'ngumbaru' bado ningempa nafasi kubwa zaidi.


NB:

..Prof.Mwandosya naye alichukua PhD bila kufanya Masters.
yes hiyo inawezekana kuwa na PHD withoutmasters, na maranyingi wakiona umefanya masters vizuri wanakurusha uandike thesis ya Phd. Mfumo huo ulikuepo sana zamani ila sasa naona umekufa.

kuhusu slaa degree anayo?ya wapi?kama ipo.
 
EDUCATION
International Eye H. Centre Certificate in Eye Health 1993-1993

TransWorld Tutorial College, London Certificate in Management 1985-1985

St. Thomas Aquinas University Advanced Diploma in Rural Development 1980-1981

St. Urban University, Rome PhD (JCD) Law 1977-1981 [Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor or JCD)]

Kipalapala Seminary Certificate in Theology 1974-1977
Kibosho Seminary School Certificate in Philosophy 1972-1973

Itaga Seminary School A-Level Education 1970-1971
Dung'unyi Seminary School O-Level Education 1966-1969

Karatu Primary School Primary Education 1962-1965
Daudi Primary School Primary Education 1961-1961
Kwermusl Primary School (Mbulu) Primary Education 1958-1960

EMPLOYMENT HISTORY
Tanzania Society for Blind Managing Director 1992-1998
Tanzania Episcopal Conference Secretary General 1985-1991
Diocese of Mbulu Development Director 1982-1985
Diocese of Mbulu Vicar General 1982-1985
Diocese of Mbulu Development Director 1977-1979
Diocese of Mbulu - Roman Catholic Church Padre 1977-1991

POLITICAL EXPERIENCE

CHADEMA Principal Secretary 2002
CHADEMA Vice Chairman 1998 2002
CHADEMA Member of Parliament (Karatu Constituency) 1995 To date
CHADEMA Member of National Executive Committee 1995 -
Chama Cha Mapinduzi - CCM Secretary Foreign Branch (Rome) 1980 1982
Youth Union -TANU Secretary 1974 1977
TANU Chairman (Kipalapala Branch) 1974 1977

Retrieved on 13/7/2006 - www.parliament.go.tz


Miafrika ndivyo ilivyo iliambiwa lazima iwe midoctor, au iwe na elimu ya ulaya ndio iongoze nchi. Mbona Kikwete ni doktar hata Mugabe naye ana madigrii kama utitiri lakini yote imefeli kuongoza imetawaliwa na Mafisadi vichwani mwao na tamaa ya mitumbo yao. Hii yote janja ya nyau tikisa makia maana Slaa kawashika pabaya.

Sasa Barubaru sijui kiberiti tuwekee CV ya kwako tuione.
 
Barubaru,MTM,Semenya,

..search ya wikipedia inatoa mwangaza kidogo kuhusu vyeti vya Dr.Slaa.

..hata sijui kwanini mtoa hoja hakujisumbua kwenda huko kabla ya kuja na hoja yake hapa.

..pia napenda kujua hadhi ya hizi seminari za Kipalapala na Kibosho within Catholic Educational System.


Wikipedia said:
Doctor of Canon Law (Latin: Juris Canonici Doctor; J.C.D.) is the doctoral-level terminal degree in the studies of canon law of the Roman Catholic Church.
It may also be abbreviated I.C.D. or dr.iur.can. (Iuris Canonici Doctor), ICDr., D.C.L., D.Cnl., D.D.C., or D.Can.L. (Doctor of Canon Law). Doctor of both laws (i.e. canon and civil) are J.U.D. (Juris Utriusque Doctor), or U.J.D. (Utriusque Juris Doctor).
A doctorate in canon law normally requires at least two years of additional study and the development and defense of an original dissertation that contributes to the development of canon law after having earned the degree Licentiate of Canon Law. Only pontifical universities and ecclesiastical faculties of canon law may grant the doctorate or licentiate in canon law.


The Licentiate of Canon Law is a three-year degree, the prerequisite for the study of which is normally the graduate level bachelor of sacred theology (S.T.B.), a master of divinity (M.Div.), a master of arts in Catholic theology (M.A.), or a civil law degree (J.D. or LL.B.) and a bachelor degree in canon law (J.C.B.) or its relative equivalent.
While not a civil law degree, the doctor of canon law is in some ways comparable to the Doctor of Juridical Science (J.S.D.) or doctor of laws (LL.D.) in terms of academic level of study as they are terminal academic degrees.


Members of the Supreme Tribunal of the Apostolic Signatura, Auditors of the Tribunal of the Roman Rota, judicial vicars, ecclesiastical judges, defenders of the bond, and promoters of justice, must possess either a doctorate or license in canon law. Either of the degrees is recommended for those who serve as vicar general or episcopal vicar in a diocese. Candidates for bishop must either possess the doctorate in canon law or the doctorate in sacred theology or be truly expert in one of those fields. Canonical advocates must possess the doctorate or be truly expert.


The Roman Church has the oldest continuously used homogenous legal system in the world. Following the Gregorian Reform's emphasis on canon law, bishops formed cathedral schools to train the clergy in canon law. Consequently, many of the medieval universities of Europe founded faculties of canon law (e.g., Cambridge and Oxford). Since the Protestant Reformation, however, they became limited to those universities which retained Catholic faculties (e.g., Pontifical University of St. Thomas Aquinas (Angelicum), Gregorian University, Catholic University of Louvain). Other Catholic universities with ecclesiastical faculties in canon law were subsequently given the ability to grant the degree (e.g., The Catholic University of America, University of Saint Paul). The University of Santo Tomas in Manila, Philippines, has been awarding the degree since 1734.
 
There is a saying which goes: If you hate others then you haunt yourself both psycological and this affects the brain of the "hater". Theefore please love your friends and neighbours so that you can get longer life! Overall we live only once and too short!
Ha ha ha,
No one hate slaa hapa...tunaongelea tafiti zake...what is wrong kama amefanya tafiti za kuongoza kanisa katoliki?

What is wrong kama amefanya tafiti zake kuhusu historia ya wakatoliki?

You got to differentiate hate and facts ..those are facts...
 
Barubaru,MTM,Semenya,

..search ya wikipedia inatoa mwangaza kidogo kuhusu vyeti vya Dr.Slaa.

..hata sijui kwanini mtoa hoja hakujisumbua kwenda huko kabla ya kuja na hoja yake hapa.

..pia napenda kujua hadhi ya hizi seminari za Kipalapala na Kibosho within Catholic Educational System.

Jokakuu, this is JF, i love it for this very reason... sasa moyo wangu swafi na hoja imeshakosa mashiko!!!

Nashukuru haikuhitaji Slaa kuja kukamilisha haya... Thanks a milion

Ila kuna mchangiaji mmoja anaomba Barubaru ampe CV yake, labda kwa kumsaidia tu ni kwamba Barubaru alishatoa wasifu wake humu na ana PhD

Mtoa mada!!! what was the motive?
 
MTM,

..mtoa mada, Barubaru, amedai anamfahamu vizuri Mh.Mustafa Mkullo. anadai waliwahi kufanya kazi pamoja.

..binafsi namshauri Barubaru akamhoji Mh.Mkullo jinsi alivyopata ile MBA toka chuo kikuu feki.

..kwa wakati huu, tutakuwa tumetumia muda wetu vizuri tukiwaandama watu kama Mkullo,Nagu,..ambao tayari wako kwenye system.
 
Hata me mepekua mejiridhisha.................Ntamuita Dr Slaaa kama zamani. for a second nililitoa.....hilo jina la Dr...so akina Nchimbi et al kazi kwao.
 
mmh... usilolijua ni kama usiku wa kiza. Mojawapo ya mambo ambayo waseminari wamekuwa wakiyalalamikia sana hasa kwa TAnzania ni kuwa mapadre wanapomaliza hawatunukiwi shahada kama zilivyo seminari za nchi nyingine kwani elimu wanayotoa ni ya Juu.

Kwa marekani, mseminari anapata shahada ya kwanza ya Filosofia na shahada ya kwanza ya Teolojia ndipo anapadrishwa. Kwa kisomo hicho hicho seminari za Tanzania zinampatia Diploma!

Matokeo yake, mtu huo wa Tanzania akiamua kujiunga Chuo Kikuu cha Marekani au Uingereza anaweza kwenda moja kwa moja Uzamili au Uzamivu! Wao Wamarekani wanatambua elimu ya Seminary kama elimu ya Chuo Kikuu.

Tatizo lilikuwa linakuja pale kijana anapoachia katikati akiwa seminari na kujikuta amepoteza miaka sita au saba bila ya shahada yoyote!

Wakati umefika kwa seminari za Kikatoliki to catch up to the rest of the world kwa kuwapatia wanafunzi wake alama za elimu zinazotambulikana duniani. Kwa mfano waseminari karibu wote hujifunza mambo ya biashara na elimu nyingine mbalimbali bila kutunukiwa vyeti hivyo hadi pale wanapoenda nje ya nchi.

Hata Makumira nadhani wanafanya vizuri zaidi kwani wao hutoa shahada za Theolojia kwa waseminari wao pale.
 
kweli watu hawafanyi homework.
Kwanza kabisa kabla hata hamjaquestion validity ya kisomo cha Dr. Slaa, labda mjiulize kwanini seminary siku zote zinafunika shule za serikali katika quality ya kisomo? Ukweli ni kwamba wakatoliki kwenye kisomo (nikimaanisha shule zinazosimamiwa na kanisa) hawabeep.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom