radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Muda sasa umewadia ndugu zangu watanzania,
Mambo niliyoyafanya hayapaswi kusimuliwa,
Tangu nilipoomba kura kwenye Ndio Mzee!
Mkanipa na kusababisha Uchumi Ulegee,
Kura zikawa kula nikaiba kwa milungula,
Taratibu nikaanza kubadili mfumo na sura,
Nasisitiza sana maswala ya ajira,
Kumbe uongo, nikaanza kugawa vyeo kwa ukabila,
Hata washauri wangu niliweka mataahira,
Na kusababisha uongozi wangu kupoteza dira,
Nikaona bora uongozi na si uongozi bora,
Na kila aliyenizidi kwa mali nilimpora,
Mambo yote muhimu niliweka ya mwisho,
Na kuwa muumini mzuri wa Mauaji na Vitisho,
Mtu asiyeshindwa katika jambo lolote,
Daima nitapata chochote katika muda wowote.
My take:
Kilichomo humo kinaishi hadi sasa wabunge 100 wa ccm ni sawa na mbunge mmoja wa ukawa kwa fikra basi tu uchama unaliangamiza Taifa hili hapo hujasogea kwa kamanda Lissu.
Mambo niliyoyafanya hayapaswi kusimuliwa,
Tangu nilipoomba kura kwenye Ndio Mzee!
Mkanipa na kusababisha Uchumi Ulegee,
Kura zikawa kula nikaiba kwa milungula,
Taratibu nikaanza kubadili mfumo na sura,
Nasisitiza sana maswala ya ajira,
Kumbe uongo, nikaanza kugawa vyeo kwa ukabila,
Hata washauri wangu niliweka mataahira,
Na kusababisha uongozi wangu kupoteza dira,
Nikaona bora uongozi na si uongozi bora,
Na kila aliyenizidi kwa mali nilimpora,
Mambo yote muhimu niliweka ya mwisho,
Na kuwa muumini mzuri wa Mauaji na Vitisho,
Mtu asiyeshindwa katika jambo lolote,
Daima nitapata chochote katika muda wowote.
My take:
Kilichomo humo kinaishi hadi sasa wabunge 100 wa ccm ni sawa na mbunge mmoja wa ukawa kwa fikra basi tu uchama unaliangamiza Taifa hili hapo hujasogea kwa kamanda Lissu.