Mkuu,hujawahi niangusha kwa upande wa kujibu maswali.[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Ndio maana wanasiasa huomba RIDHAA ya kutawala au kuongoza.... Wajuzi hawaombi ridhaa bali hutenda kwa kufuata misingi, taratibu kanuni na sheria
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] .mkuu ulidhani maiti zinarundikwa tuuu kibwege?Kumbe nao wana balance sheet kama wahasibu?
Sasa nakuelewa mkuuWajuzi wana maono wanaridhaa wana maoni
Wajuzi wana tafakari wanaridhaa wana tafsiri
Wajuzi wanatenda wanaridhaa wanatendewa
Wajuzi wana hadidu wanaridhaa wana hadaa
Wajuzi ni werevu wanaridhaa ni wajuaji
Wajuzi wana timamu wanaridhaa wana tashwishwi
Wajuzi wana tuo wanaridhaa wana tamaa
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji121] [emoji121] [emoji121] kilingeni MsataDuh! Yaani ulishanipoteza kama sio uvumilivu niliokuwa nao wa kukusoma hadi mwisho ningekuhukumu vibaya! But nimekupata mwishoni kabisa. Pokea tano hapo ulipo japo sina uhakika kama leo upo mitaa ya kwa kopa au kwa Ally mapilau au biafra!
Pamoja sana na angalia ulaji wa nanasi za huko kwani zahitaji nafasi na ujuzi![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji121] [emoji121] [emoji121] kilingeni Msata
Hahaha mshana umekwepa maswali yangu, sijaona jibu hata moja.Hii dunia imejaa wauaji... Na watu huua maranyingi tuu... Hata ulishawahi kuua na si maramoja..... Tatizo tulilo nalo huwa tunafikiri kukatisha pumzi ya mtu ndio kifo kibaya zaidi... Lakini daily tunaua kwa matendo maneno hata mawazo yetu.. Na kuna nyakati nyingi tu tumesaidia ama kusababisha vifo vya wengine
Hahaha sawa nitarudia[emoji3] [emoji3] [emoji3]hujasoma kwa makini
Huwa siwatofautishi kati ya mwanasiasa na mwizi naona kama ni watoto wa baba mmojaHata mjinga anaweza kuwa mwanasiasa..
Siasa ni dhana ya kufikirika na imejengwa kwenye misingi hiyo, siasa hazina formula na hazina uhalisia... Kinachoniumiza sana ni pale wajuzi wanapokimbia taaluma zao zenye tija kwa taifa na kuamua kuwekeza kwenye siasa... Yaani wanageuka kuwa wanaridhaa.... Lakini ukiangalia kwa makini huwezi kuwalaumu sana siasa imepewa thamani na daraja la juu kuliko maarifa na ujuzi... Na kwakuwa kwa maono yetu mbilikimo mwisho wa siku kila mtu anaangalia anapata nini kwenye niniHuwa siwatofautishi kati ya mwanasiasa na mwizi naona kama ni watoto wa baba mmoja
Nimekupata mkuu kwamfano mkemia mkuu sioSiasa ni dhana ya kufikirika na imejengwa kwenye misingi hiyo, siasa hazina formula na hazina uhalisia... Kinachoniumiza sana ni pale wajuzi wanapokimbia taaluma zao zenye tija kwa taifa na kuamua kuwekeza kwenye siasa... Yaani wanageuka kuwa wanaridhaa.... Lakini ukiangalia kwa makini huwezi kuwalaumu sana siasa imepewa thamani na daraja la juu kuliko maarifa na ujuzi... Na kwakuwa kwa maono yetu mbilikimo mwisho wa siku kila mtu anaangalia anapata nini kwenye nini
Ridhaa imeipiku ujuzi
Nimetoa mfano tu najua wapo kibao sana sema tu huyo jamaa ananikera sana.List ni ndefu
Hapa ningependa kujua zaidi,kivipi? Kama itafaa ningeomba mifano labda ningeelewa zaidiHii dunia imejaa wauaji... Na watu huua maranyingi tuu... Hata ulishawahi kuua na si maramoja..... Tatizo tulilo nalo huwa tunafikiri kukatisha pumzi ya mtu ndio kifo kibaya zaidi... Lakini daily tunaua kwa matendo maneno hata mawazo yetu.. Na kuna nyakati nyingi tu tumesaidia ama kusababisha vifo vya wengine
Tunashiriki mauaji kwa namna tofauti kutokana na vyakula tunavyokula... Kanuni ya survival of the fittest...Hapa ningependa kujua zaidi,kivipi? Kama itafaa ningeomba mifano labda ningeelewa zaidi