Professionals and amateurs (wajuzi na wanaridhaa)

Professionals and amateurs (wajuzi na wanaridhaa)

Hatari sana
7d31810ec42b178cbb74a747e560fd3e-296x300.jpg
 
Napenda sana thread zako hasa mpangilio na unavotoa ufafanuzi mzur kila mara nkiziona natamani nisome ata hazchosh[emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Hii dunia imejaa wauaji... Na watu huua maranyingi tuu... Hata ulishawahi kuua na si maramoja..... Tatizo tulilo nalo huwa tunafikiri kukatisha pumzi ya mtu ndio kifo kibaya zaidi... Lakini daily tunaua kwa matendo maneno hata mawazo yetu.. Na kuna nyakati nyingi tu tumesaidia ama kusababisha vifo vya wengine
Mshana na zile amateur porn maana yake ni za wanaridhaa?
 
Napenda sana thread zako hasa mpangilio na unavotoa ufafanuzi mzur kila mara nkiziona natamani nisome ata hazchosh[emoji106] [emoji106] [emoji106]
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji123] [emoji109] [emoji121]
 
Kauli huumba kwa wajuzi,niliwahi kuzulumiwa madini na watu wa3 tofauti,nikawaambia kwa nyakati tofauti kwa kumaanisha HAKIKA MTAFUKUZWA KAZI! within 5 dayz wote fired! naitwa mchawi kazini hadi leo! na naogopeka kwa kauli tu! na siendag kwa mganga mm
 
ili ufanye kazi mochwari akili yako inatakiwa iwe fyatu kidogo vinginevyo uwe na roho ngumu sana.
mnanikumbusha marehemu Profesa Shaba.
Nikiwa mdogo nilikuwa nakutana nae gengeni kila asubuhi ametoka zake mazoezi ya kutembea,ananunua vitunguu saumu atafune,kichwani yuko tilalila,tena asubuhi!
 
Umenifikirisha jinsi ulivyozunguka na kuishia uzi wako! Nimeishia kucheka! Na hii nafikiri ni karibu dunia nzima, maana ufanyabiashara mkubwa au kucheza sinema na siasa ni wapi na wapi? Sembuse mkemia!
 
Umenifikirisha jinsi ulivyozunguka na kuishia uzi wako! Nimeishia kucheka! Na hii nafikiri ni karibu dunia nzima, maana ufanyabiashara mkubwa au kucheza sinema na siasa ni wapi na wapi? Sembuse mkemia!
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji85] [emoji85] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji121] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom