Profesa Palamagamba akiwa field eneo la kazi

Profesa Palamagamba akiwa field eneo la kazi

Ndio maana halisi ya Waziri wa utamaduni na michezo. Hongera sana Prof Palamagamba Mwaliko kwa kuvaa uhusika vizuri.
 
1743355371460.png
... 'apo 'ata hajabugi! 🤣
 
View attachment 3288051

Wizara aliyopewa Palamagamba ni ngumu sana kwake Kama sio njaa angekuwa anapigania No Reforms No Election. Alikuwa mjumbe wa Kamati ya Warioba huyu
Pamoja kuwa ni Profesa lakini ana vipaji vyake. Huyu ni Mkristo wa anglikana. Kuimba ni sehemu ya ibada wala hakuna uchawahapa. Tuache kujiona sisi ndo tunajua kila kitu kuwa nani afanye nini. Watu watashindwa kuonyesha vipaji vyao kisa maneno kama haya. Kwasababu wewe huna usitake wote wawe kama wewe. Huu ni wivu tu
 
Nyie watu mmechanganyikiwa aisee!! 😂😂😂
Wewe ndiye umechanganyikiwa baada ya ndoto yako ya kupewa ubunge wa viti maalum na basha wako Mbowe kuota mbawa, Cha ajabu Mbowe mwenyewe alishakubali matokeo lakini wewe bado unaendeleza mapambano.
 
Wewe ndiye umechanganyikiwa baada ya ndoto yako ya kupewa ubunge wa viti maalum na basha wako Mbowe kuota mbawa, Cha ajabu Mbowe mwenyewe alishakubali matokeo lakini wewe bado unaendeleza mapambano.
Haha Leo Mbowe kawa basha wangu?? 😂😂😂😂 mna utoto sana
 
Back
Top Bottom