Profesa Muhongo huna credibility ya kuwashauri watanzania kuachana na mradi wa JNHPP na usidanganye watu kuwa Hydro power zimepitwa na wakati

Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.


Kama kweli ujenzi huo umepitwa na wakati Ethiopia isinge thubutu kufanya maamuzi magumu kiasi ambacho umepelekea kugombana na Misri Hali iliyopelekea kuwa na vuguvuga la Vita.. @ProfesaMuongo
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
CV Kali + ufisadi = propesa Muongo!! Ufisadi umemharibu!! Anataka kutuingiza mkenge!
 
IProf anadanganya. Thermal plants including gas ones, are known for being expensive in maintaining them.
Hydro power plants initial cost is massive. Running cost is very cost effective.
Prof Muhongo au Prof Muongo? Muda utaongea
Muda ulishaongea tayari: prof Muh*ngo = Propesa Muongo!!
 
Dunia nzima inaenda kwenye nuclear, gas na solar. Sisi bado tumegomea kwenye maji
Uko nyuma ya wakati!! Dunia inaachana na nuclear power taratibu na kutafuta vyanzo vingine. Sababu kubwa ni kuwa Nuclear power ni adui mkubwa mno wa mazingira! Waulize Japan na Urusi watakuambia! Muda huu ujerumani hataki hata kusikia habari ya umeme was nuclear. Wameshaweka nakakati was hatimaye kuachana kabisa na chanzo hicho.
 
SSH ni dhaifu ndio maana majizi yote yapo busy kumshauri, ukiona mtu anakushauri ujinga kwa uhuru kabisa ujue anadharau uwezo wa akili. Tutegemee EPA, ESCROW , RICHMOND, IPTL na mengineyo mengi ndani ya hii miaka ya huyu mama.
Mama ajitenge nao kwa vitendo ili hawa wapiga dili na madalali wakae kimya ...
 
Kwa hiyo wewe profesa ulietetea wizi wa fedha za Escrow kwa nguvu nyingi mpaka ukatukana watu ni matumbili leo hii unapata wapi ujasiri wa kutuambia watanzania kuwa umeme maji unachelewa kuanza kuzaa faida na umepitwa na wakati?

Kwa hiyo huko Usa na China ambazo ni nchi zilizoendelea kwa kila namna wanapojenga Hydropower stations au kuendelea kutumia HEP kuzalisha umeme ni watu wasio na uelewa wa mambo?

Lini ilishawahi kutokea kupata nishati kama umeme ikawa ni fasheni ya kudai HEP imepitwa na wakati na sasa tutumie gas? Au unaleta dharau zako?

Hasira za wewe kufukuzwa uwaziri kisa tu ulishazoea kupiga madili makuwa hapo wizara ya nishati isiwe sababu ya kutuharibia mipango ya kukamilisha JNHPP. Kaaa kimya uendelee kutafuna posho za Escrow.
HUYU MUHONGO ANADHANI TUMEMSAHAU KWENYE SCANDAL YA ESCROW HAWA NDIO WALE AMBAO JPM ALIWADHIBITI KWA HIYO NDIO WANAHANGAIKA KUMTENGENEZEA IMAGE MBAYA LAKINI SISI WANANCHI TULIMWELEWA NA BADO TUTAENDELEA KUMWELEWA JPM HATA KAMA AMETUTOKA BADO MUHONGO HAWEZI KUSIMAMA MZANI MMOJA NA JPM WATUACHE WASIJICHOSHE KUMCHAFUA
 
Leo nimeshituka kusikia maneno ya Professor Muongo (Mtaalamu wa Nishati) akisema umeme wa Maji sasa Umepitwa na wakati na Uchumi ni Umeme wa Gesi.

Huenda ni kweli ujenzi wa Hydro Electric Power Plant ukawa na gharama mwanzoni na sio kila nchi / sehemu inaweza ikawa na HEP sababu lazima kuwe na viable infrastructure.
Umeandika vizuri sana mkuu
 
Aliyemtusi David Kafulila ni mwanasheria mkuu sio prof Muhongo, pili ni kweli siku hizi nishati mbadala ya uhakika ni 1: Solar 2: Upepo, 3: Nishati ardhi 4: Gesi 5: na Uranium, sio hydropower kwa sababu upatikanaji wa maji umeathiriwa vibaya sana na tabia nchi. Umeona ripoti ya CAG anasema ujenzi wa stieglers gorge wametumia andiko la mradi la mwaka 70/72; hawakupata muda wa kulihuisha, kwa hiyo hakuna uhakika kwamba kutakuwa na maji ya kutosha kulifanya bwawa liwe endelevu na lenye faida na kuzalisha umeme kwa gharama nafuu!
Mama weeeh . . . tumeshagusanisha hasi na chanya. Tusubiri tu matokeo yake
 
Kwa CV yake tu huyu Profesa, Uweledi wake, Uzoefu wake na Uwezo wake mkubwa wa Akili nakubaliana nae tena kwa 100% juu ya huu Mtazamo wake.

Ni Rais Mpumbavu tu pekee ndiyo hatotaka kufanya Kazi na Mtu very competent kama Profesa Muhongo ambaye hata Mataifa Makubwa na yaliyotuzidi kila Kitu hadi Akili walifanya nae Kazi na sasa wanamtumia pia kama Independent Consultant katika Masuala ya Madini na Jiolojia pia.

Majungu dhidi yake hayasaidii ni Upuuzi.
Usidanganyike na CV

Anaweza pia kuwa bonge la mchimbachumvi
 
Back
Top Bottom